mafisi waleeee pm
dada mtu hamna bond yoyote anakuumiza kichwa seriously?
Wanasheria wana msemo wa "Invitation to treat".
Naona hapa ni kama kuna jambo.
mafisi waleeee pm
dada mtu hamna bond yoyote anakuumiza kichwa seriously?
yaaah anaenda kupozwa maumivu...Wanasheria wana msemo wa "Invitation to treat".
Naona hapa ni kama kuna jambo.
Aisee. Pole sana
Hali hii inaumiza kwa kweli kwa sababu mtu uliyemuamini na kumpenda ametumia miaka miwili kukujuza jambo ambalo alipaswa akujuze mapema.
Maumivu uliyonayo nayaona yanafanana kama vile mwanaume anapogundua mke wake amechepuka.
Hali uliyonayo huwa inasumbua mwanzoni tu, baada ya muda moyo wako utakubaliana na matokeo kisha utakuwa vizuri.
Alikuroga ptuuuh!! 😁😁 hamna kurogwa wala nin,mapenzi ni timing tuPole Sana karibu ukubwani Bora umepata hyo heart break ukiwa nje ya ndoa Sasa itakujengea immunity ya kuja kutokuumia huko mbeleni, halafu umia tu uwezavyo time heals everything. Huyo jamaa pia hakuwa muungwana angekwambiaga mapema ka alikuwa anakupenda ili kukuepushia naumivu unnecessary maana waliooa wengi huwa wako wazi. Mie mwenyewe nulipitiwa hyo situation and it took me two good years to heal, na Sasa hivi namuona huyo mjinga si hadhi yangu na aliniroga
Life about win-win situation, once you win some lose and vice versa.Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya
Nisaidienii plzPole kwa maswahibu. Nakushauri usiendelee kuumiza moyo wakati mdomo wako unaweza kukurudisha furaha uliopoteza. Kumbuka ni ww uliemwandikia "its over betwen us". Kwa hiyo sikiliza maumivu ya moyo wako. Usiombe msamaha ila mwambie "Nakushukuru kuniambia ukweli" wachache wanamoyo kama yuo". Kwahiyo mpigie muongee. Na ukipendezeshwa enshi nae kwa mkataba... "Kumbuka ukimvulia mamba nguo hutakiwi kurudi nyuma...." ((Njoo nikupe Dawa utafanyikisha anzma yako kwa haraka))
Sawaaa lakin nashindwa kuvumilia si kwamba napendaUsijizoeshe kuchoma Tramadol ukipata uraibu itakugharimu vibaya kutoka shauri yako.
Wewe ni kakorofiduh, pole sana, kakuongezea mileage kinoma, kukugegeda miaka 2 na kukuacha inauma sana
ila usijiue tu
Huu ni ushauri wa kipumbavu kuwahi kutokea.Yaani ni sawa na kumnywesha mtu pombe ili alewe ndiyo "umfanye" akiwa hajitambui.Kama unampenda hangaika kwa watalaamu atarudi yaani watamfarakanisha na huyo aliyekua naye then akurudie wewe
kwanini ?Wewe ni kakorofi
Umeona alivyokuwa mjinga...wacha alie tuuMiaka miwili hata kwake hajawahi kupeleka? We nae
NakutamaniMiaka miwili hajamkula sana bhanaa usimtishe hukoo,loh!!
Gharama zote hizo wakati pakiti moja tuu sh.500.Habari ndugu zangu! Nimeachana na mtu niliekua na mpenda sana tulikuwa kwenye mahusiano takribani miaka 2 na tumeachana baada ya yeye kuniambia ukweli kuwa ameoa tayari ana mke na mtoto mmoja " last week aliniomba tukutane akemi kwa ajili ya Dinner then baada ya hapo ndio akanitamkia Haya "trisha mpenzi wangu nimekuwa nikiificha hii siri kwa mda wote huo tukiwa kwenye mahusiano sababu ninakupenda na bado ninakuhitaji ila kiukweli mimi nimeoa ni Mume wa mtu na nina mtoto 1 kwa kipindi chote hicho nmekuwa nikijitahidi sana usijue sababu nikihofia kukupoteza " Sasa nmeona sikutendei haki nmeona nikuambie ukweli ili ufanye maamuzi pia kwa upande wako
Baada ya hapo nilikuwa kama nimepigwa shot ya umeme niliondoka sikujibu chochote njiani nikawa nalia sana.... Nikarudi home nikapata nguvu ya kumtumia message "its over between us" baada ya hapo usiku wa saa 8 nilizidiwa sana nikapelekwa Hosp nikalazwa since iyo last week nmekuwa sijielewi mpaka sasa nashindwa hata kula chakula nakunywa vimiminika tu Juice, na maji what even worse hata usingizi ninakosa usiku lazima ninywe dawa za usingiz ndo nilale , nmefikia hatua mpaka nachoma sindano za tramadol for the sake of usingiz ndio nilale hata kidogo naumia , najiuliza maswali mengi, najilaumu why me naomba mnisaidie cha kufanya