Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
3,831
Reaction score
6,878
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana, yaani naweza tetemeka nikikutana nao.

Wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nikazeeka bila kupata mchumba.

Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza.

Practice ni ziro au nina tatizo?

NB: Nina maanisha (serious)
 
Mpesa outscores words...
Huitaji kujifunza kupoteza muda bossi, jifunze kuruhusu opt ya "bonyeza 1 kuthibitisha"

Hehehee watu wanaotongoza kwa staili hii mbona huku mtaani kwetu hawapo?
 
Haaaaaaa blaza hata kwa sms😳😳😳
 
Twen-ager that can't vibe huh?! Well, It's not a trick. Develop a sense of humor. Read, listen and watch a lotta stuff to help you develop conversations. And oh! you should consider changing that avi man, it's confusing. Purchase some style/swag too. Then start making friends.
 
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana.....yaani naweza tetemeka nkikutana nayo
wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nkazeeka bila kupata mchumba. Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza practice ni ziro au nina tatizo?
NB: Nina maanisha(serious)

Je, jogoo wako huwika lakini japo hata mara moja kwa mwaka kuashiria kuwa kumekucha inapotimia saa kumi na moja, pia unapokutana na mchechea aliyenona na kujazia nyuma?
 
Upo kama mimi mr, ila hili tatizo litaisha soon maana practice si haba
 
Kipato chako tafadhari????
Hutoitaji kutongoza utatongozwa hadi ushangae.
 
Back
Top Bottom