hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Hizo chacheInatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu
Hizo chacheInatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu
Hiyo Ni idadi inayopaswa kufanyika ndani ya miezi 6 ,Inatufundisha kwamba at 29 walau ujaze Noah...walau Noah tu
Kama mapenzi yamekushinda jaribu kilimo dada yangu,
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
I second youHuyu mwanaume hutoweza kuachana naye kabisa, hata ukiolewa na mwanaume mwingine, haitotokea ukaachana naye.
Nadhani ww ndio unaanzisha ubishi hapa!!Umeelewa comment yangu mkuu au kubishana ni tabia yako
Ila jfHamna mdada wa 29 yrs we ni MUMAMA
Thubutuu Ujinga wa kupenda jinsi ulivyo kwanza ukimpenda mtu Sana hata Kama she's/he good person lakini lazima uwe uanze kuishi kwa wasi+ , Yaani akichelewa kurudi unaanza kuwaza differ , asipopokea simu inakua hivyo pia , Yaani unakuwa Kama you're living in hell , hayo ndio Mambo nisiyo yatakaunakutana na rude Gal, kutana na Gal mwngne utaenjoy hayo mapenzi ya kuch kuch hottae
Maybe ana maanisha ile kuwa serious in relationship , sitaki kuamini kuwa in 10yrs alikuwa analiwa na huyo huyo mtu 1 hizo zitakuwa Ni chai
Tena proudly mumamaHamna mdada wa 29 yrs we ni MUMAMA
watu weuweeeeeeeeh. HahahahThubutuu Ujinga wa kupenda jinsi ulivyo kwanza ukimpenda mtu Sana hata Kama she's/he good person lakini lazima uwe uanze kuishi kwa wasi+ , Yaani akichelewa kurudi unaanza kuwaza differ , asipopokea simu inakua hivyo pia , Yaani unakuwa Kama you're living in hell , hayo ndio Mambo nisiyo yataka
Ongeza mwingine mkuuHuu mwandiko huu, kama unakuja halafu unapotea...anyway
Bi mkubwa, wakati sahihi ukifika utapata wa kukupenda nawe utaishi ukishihudia maneno makuu ya mapenzi, itoshe kusema hujaweza kukutana na mtu sahihi...
Huu uzi ungeandika enzi nikiwa kijana bado, ningekutafuta bi mkubwa nikuoneshe walipoandika neno 'kupendwa' kwenye kamusi walikuwa na maana gani haswa...
Ayo yote yataisha siku ukijifunza kuandika kiswahili kizuriHello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote wawili ambao nilishawahi date nao wananisifia sana kwenye suala la uaminifu.
Am kind of wife material can do all house chores, am respectful to all people, ni msafi kuanzia ndani mpaka nje, am not after my man's money I know how to make my own, sina sura mbaya wala nzuri (am presentable) but I always wonder why I can't find true love.
Now nipo kwenye r/ship na mwanaume mmoja (yupo pia humu JF jina kapuni) yan he doesn't show love he doesn't care about me despite being in r/ship for almost ten years. Sipendagi kuanzisha uhusiano mpya coz am that kind of a person ambae ni mgumu sana kumzoea mtu (it may take two years kumzoea mtu mpya)
My point is natamani kupendwa jamani natamani kubembelezwa kama wanawake wengine. I want to feel love.
I want to be asked in the morning 'how are u sweetie have a nice day'
I want a man to tell me 'I love you Mercy you are my everything'..
I want to make love & not sex which I do now.. jaman sijui mnanielewa..
Usione mapaa Kasie yanaficha mengi, kuna siku ninapata leave Mzee akiwa kwa mchepuko.
Kasie wewe ni vegan,vegetarian au pescatarian
Kasie fundi wa mahaba..
I see you mom..
Sijaona K Vant na Kitimoto hapo.
Nimesusa....