Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 918
Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je ni kigezo kimojawapo cha kuwa Padre?
Nimuewahi muona mmoja hata asubuhi hii nimeonana naye. Though naye aliwahi nisimulia chamgamoto alizopitia mpaka hapo alipofika. Ni dhahiri kuna ubaguzi na mapokeo ya kipuuzi kuhusiana na ulemavu ktk utumishi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ni kigezo kimojawapo...Na pia hakuna padre hanithi(ashakum si matusi)Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je nikigezo kimojawapo cha kuwa Padre?
Kwahiyo padri akipata ajali na kukakatika mguu anavuliwa upadri wake?Hapana sio kigezo kimojawapo cha kuwa padri
Nakuambiaje huyo alipata ulemavu akiwa padre na si kabla ya kuwa padre....Nimuewahi muona mmoja hata asubuhi hii nimeonana naye. Though naye aliwahi nisimulia chamgamoto alizopitia mpaka hapo alipofika. Ni dhahiri kuna ubaguzi na mapokeo ya kipuuzi kuhusiana na ulemavu ktk utumishi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ni kigezo kimojawapo...Na pia hakuna padre hanithi(ashakum si matusi)
Kwanini...?
Upadre na Sadaka(Sacrifice)...yani unajitoa mzima mzima kama ulivyo....Yani si una-opt kuwa padre kwasababu wewe ni mlemavu, au wewe audi.n...d ndio unakimbilia upadre..upadre ni Sadaka iliyosafi..ni kujitoa..bila kujibakiza..
Wajuzi watajazia nyama
Hakuna...hao watakuwa wamepata ulemavu wakiwa tayari mapadre
Yaah kazi baaasiKwahiyo padri akipata ajali na kukakatika mguu anavuliwa upadri wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikasema huenda huyo alipata ulemavu akuwa tayari ni PadreOk. Ila Poa Tu hapo juu kadai kawahi kumuona. Ata asbh hii kamuona!!!
Huyo ataendelea kuwa Padre..maana ulemavu waje kaupata akiwa tayari ni PadreKwahiyo padri akipata ajali na kukakatika mguu anavuliwa upadri wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usikufuru.Hupaswi kumtolea mungu sadaka yenye mapungufu,ktk biblia hakuna mpakwa mafuta aliyekuwa kilema au mwehu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa mkatoliki nadhani swali la kitoto hivi usingeliuliza hapa. Upadre ni kujitoa kwa Mungu na huwezi kumtolea Mungu kitu chenye kasoro. Lazima uwe mkamilifu usie na mawaa ndipo unaweza kujitoa kumtumikia Mungu na kanisa kama kuhani(padre)Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je nikigezo kimojawapo cha kuwa Padre?