Sijawahi kuona bibi harusi kibonge

KING 360

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,002
5,176
Wakuu salaam kwenu,

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.

Katika harusi zote nilizoshuhudia sijawahi ona bibi harusi mnene, wakati mtaani wamejaa wadada vibonge. Najiuliza hao walioolewa huwa wananenepa baada ya kuolewa, na je hawa wadada vibonge ambao bado hawajaolewa huwa hawaolewi
kwa kufanya harusi au wanafungaga ndoa zile za kimila ambazo watu huwa wanaoana kimya kimya au kuna mazoezi wanayofanya hadi kuwa wembamba.

Au vibonge huwa hawafanyiwi harusi au ni macho yangu mimi naonaga ni wembamba na wale saizi ya kati ambao sio wanene au wembamba nao ni wachache. Vipi kuhusu nyie wanajamvi huwa mnazishuhudia harusi za wanawake vibonge uko kwenu?
 
Kila mtu anataka picha zipendeze siku ya harusi, maana hata wajukuu wataziona kama ni majaaliwa. Ukishaona jamaa yuko serious na mahari imelipwa unaanza kushinda na njaa. Wengine wanafunga kabisa kumuomba Mungu awajalie safari njema kwenye ndoa, lakini yote hayo matokeo yake ni kuwa ki portable.Unakumbuka ile style ya bwana harusi kumbeba bibi harusi beach, sasa kama umehifadhi kilo za mafuta nani ataweza kukubeba zaidi ya Power Mabula.
 
Wakuu salaam kwenu kama Kichwa hapo juu kinavyojieleza
Katika arusi zote nilizo shuhudia sijawahi ona bibi arusi mnene wakati mtaani wamejaa wadada vibonge najiuliza hao walioorewa huwa wananenepa baada ya kuolewa naje hawa wadada vibonge ambao bado hawajaolewa huwa hawaolewi kwa kufanya arusi au wanafungaga ndoa zile za kimila ambazo watu huwa wanaowana kimya kimya au kuna mazoezi wanayofanya hadi kuwa wembamba au vibonge huwa hawafanyiwi arusi au ni macho yangu mm naonaga ni wembamba na wale saizi ya kati ambao sio wanene au wembamba nao ni wachache vp kuhusu nyie wanajamvi huwa mnazishuhudia arusi za wanawake vibonge uko kwenu?
Nimekusoma mkuu
 
Wakuu salaam kwenu kama Kichwa hapo juu kinavyojieleza
Katika arusi zote nilizo shuhudia sijawahi ona bibi arusi mnene wakati mtaani wamejaa wadada vibonge najiuliza hao walioorewa huwa wananenepa baada ya kuolewa naje hawa wadada vibonge ambao bado hawajaolewa huwa hawaolewi kwa kufanya arusi au wanafungaga ndoa zile za kimila ambazo watu huwa wanaowana kimya kimya au kuna mazoezi wanayofanya hadi kuwa wembamba au vibonge huwa hawafanyiwi arusi au ni macho yangu mm naonaga ni wembamba na wale saizi ya kati ambao sio wanene au wembamba nao ni wachache vp kuhusu nyie wanajamvi huwa mnazishuhudia arusi za wanawake vibonge uko kwenu?

Kwendraaaaaaaa.......
 
Kila mtu anataka picha zipendeze siku ya harusi, maana hata wajukuu wataziona kama ni majaaliwa. Ukishaona jamaa yuko serious na mahari imelipwa unaanza kushinda na njaa. Wengine wanafunga kabisa kumuomba Mungu awajalie safari njema kwenye ndoa, lakini yote hayo matokeo yake ni kuwa ki portable.Unakumbuka ile style ya bwana harusi kumbeba bibi harusi beach, sasa kama umehifadhi kilo za mafuta nani ataweza kukubeba zaidi ya Power Mabula.
ahahaa kweli hapo kwa dieti sio issue
 
Wakishafika kwa mume wanaridhika ndugu, unalalia dushe usiku kucha kwa mwaka wafikiri ni haba???
 
Wapo ila baadhi
Pia wengi wakijua ni wanene huvaa mavazi ya kuficha ule unene iliapendeze mana ile s
1474216491703.png
1474216504086.png
iku muhimu na hajirudii
1474216474952.png
 
Okay tufanye sawa haujaona... So what? Kwani vitu vingine vyote wewe umeviona? Umeshaona self contained ndani ni choo cha shimo.... Mbado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom