happiemrope
Member
- Aug 12, 2016
- 18
- 10
HahaaaaKila mtu anataka picha zipendeze siku ya harusi, maana hata wajukuu wataziona kama ni majaaliwa. Ukishaona jamaa yuko serious na mahari imelipwa unaanza kushinda na njaa. Wengine wanafunga kabisa kumuomba Mungu awajalie safari njema kwenye ndoa, lakini yote hayo matokeo yake ni kuwa ki portable.Unakumbuka ile style ya bwana harusi kumbeba bibi harusi beach, sasa kama umehifadhi kilo za mafuta nani ataweza kukubeba zaidi ya Power Mabula.


