Ungezijua sela za Israeli hasa kwa watu ambao sio wayahudi, sijui kama ungeishobokea hivyo
Hitler alikuwa mzungu mwenzao lakini alitaka kuwafyrka wote wapotee ktk hii dunia ili kuwa na amani
Wazungu wa ulaya walianzisha kampeni ya kuwatafutia nchi yao na hiwe mbali na ulaya unafikili kwanini walifanya hivyo.
Wewe mshukuru sana M/Mungu nchi yako kuwa mbali na Israeli. Ungekuwa jirani nao ndio ungejua wayahudi ni watu wa namna gani
Najua unawashabikia waisrael ni kwasababu ya udini tu, jaribu kufanya utafiti kujua wayaudi and wanawachukuliaje watu ambao sio wayahudi