Sijawahi kumuelewa Netanyahu hata siku moja

Sijawahi kumuelewa Netanyahu hata siku moja

Ujinga mtupu unakusumbua!! Wewe unatumika tu kama Condom na waarabu angalia hapa chini uone wasio wayahudi wakijivinjari ndani ya Israe bila bughudha.

Tatizo ninyi Waarabu-koko mnatumika sana na waarabu kueneza uongo na chuki dhidi ya Israel lakini mmeshindwa kusema ukweli badala yake mnaeneza uongo tu
We una bwana myahudi nini? maana sio kwa unavyowapambania bibie!
 
We una bwana myahudi nini? maana sio kwa unavyowapambania bibie!
Siwezi kushangaza maana najua silaha kubwa ya Wafuga midevu na Majini kila wanaposhindwa kujibu hoja daima huja na Matusi na Uongo, kwa matusi hayo najua wazi dawa imekuingia vizuri.
 
Siwezi kushangaza maana najua silaha kubwa ya Wafuga midevu na Majini kila wanaposhindwa kujibu hoja daima huja na Matusi na Uongo, kwa matusi hayo najua wazi dawa imekuingia vizuri.
unaogopa ndevu bibie! huwa zinawaletea msisimko kwa mgongo when we touch ur buttocks
 
unaogopa ndevu bibie! huwa zinawaletea msisimko kwa mgongo when we touch ur buttocks
Ndiyo Tabia yenu mkishindwa kujibu hoja matusi yanawatoka kama maji!!!.

Uzuri tunawajua hivyo hamtupi shida Mbwa nyie!!
 
D
Wewe ndio mfia dini either unakili finyu au labda huwa mnadanganyana huko makanisani

Vita zote za mashariki ya kati unazo zisikia ni vita za kiuchumi hakuna hata vita Moja inayohusiana na dini


Ngoja nikupe data nyepesi Ili uelewe maana wewe ni kilaza uliyepandikizwa chuki za kidini

Marekani aliwasaidia waasi wa Uturuki Ili waipindue serikali ya Uturuki
Urusi akaja akaisaidia serikali Ili isipinduliwe
Unajua Kwa nini?
Marekani ana mpango wa kupitisha momba la gasi kutoka Qatari kuenda nchi za Ulaya Ili nchi za Ulaya zisitegemee gasi ya Urusi lakini utawala ulipo Sasa wa Uturuki ni kikwazo katika hilo ndio maana Marekani walitaka kupindua utawala wa Uturuki Ili waweke kibaraka wao na Urusi akazuia hilo Kwa sababu analinda masilahi yake

Irani Ina gasi nyingi , mafuta mengi na Uranium nyingi na tecnologia ya hali ya juu Marekani wanataka waingie pale wanyonye hizo Mali lakini utawala wa Irani ni madhubuti ndio maana wanataka kuondoa utawala uliopo Ili waweke kibaraka wao wafanye wanavyotaka kama Venezuela na hiyo kazi ya kuangusha utawala wa Irani alipewa Netanyau lakini ameshindwa maana Israel ndio base kuu ya Marekani pale mashariki ya kati

Hakuna vita vya kidini pale ila ni vita vya kutaka uhalali wa kupora mali za watu

Sasa nyinyi wagalatia mnapandikizana chuki za kidini ambazo hazina kichwa Wala miguu
Daaaaaaah umempa elimu kubwa
Mbumbumbu wengi huwa wanaamini vita ni kwa ajili ya dini, wajuze vita ni kwa ajili ya maslah ya kiuchumi
Ni mjinga na mpumbavu daima huwa anaamini ni ulimwengu huu wanapigana kisa dini
 
Ungezijua sela za Israeli hasa kwa watu ambao sio wayahudi, sijui kama ungeishobokea hivyo

Hitler alikuwa mzungu mwenzao lakini alitaka kuwafyrka wote wapotee ktk hii dunia ili kuwa na amani

Wazungu wa ulaya walianzisha kampeni ya kuwatafutia nchi yao na hiwe mbali na ulaya unafikili kwanini walifanya hivyo.

Wewe mshukuru sana M/Mungu nchi yako kuwa mbali na Israeli. Ungekuwa jirani nao ndio ungejua wayahudi ni watu wa namna gani

Najua unawashabikia waisrael ni kwasababu ya udini tu, jaribu kufanya utafiti kujua wayaudi and wanawachukuliaje watu ambao sio wayahudi
Wayahudi ni watu wa namna gani?
 
Back
Top Bottom