Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Sasa umejuaje kileleni kukoje kama hujawahi kufika? Naweza kukupa msaada japo kwa kuweka mambo wazi...!Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya