Sijawahi kufika kileleni

Nidevelop feelings nawe ili iweje?mie nakula kiroho safi natambaa mwanaume cyo ndugu yangu babu weeeh
mhm kama unaweza nionyesha kwenye dating histiry yako ulishawahi kuwa katika sexmate relationship na huku develope feelings hapo tutaweza anza kuongea
 
mnh hamna mwanamke asiyefika duniani,usitudanganye hapa kama uongo jaribu mastabesheni uone kama hutafika,cha muhimu ni kumuambia guy wako sehemu zinazokufikisha,wanaume nao ni watu kufanya makosa kitandani ni acceptable wao sio wapiga ramli:shut-mouth:
 
mnh hamna mwanamke asiyefika duniani,usitudanganye hapa kama uongo jaribu mastabesheni uone kama hutafika,cha muhimu ni kumuambia guy wako sehemu zinazokufikisha,wanaume nao ni watu kufanya makosa kitandani ni acceptable wao sio wapiga ramli:shut-mouth:

mhm kume wee mtu wa experimentation...i lyk
 
mnh hamna mwanamke asiyefika duniani,usitudanganye hapa kama uongo jaribu mastabesheni uone kama hutafika,cha muhimu ni kumuambia guy wako sehemu zinazokufikisha,wanaume nao ni watu kufanya makosa kitandani ni acceptable wao sio wapiga ramli:shut-mouth:

nimekupenda
 
kwahiyo umegawa sana ufike kileleni!?. jiandae kiakili kabla ya kujiandaa kimwili. mia
 
me najiuliza sa kama hajafika akifikishwa ataweza kupajua au atabaki ameshangaa tu bila kuelewa kua ndo kafikishwa kilelen! nataka nijitoe mhanga wandugu nimfikishe kileleni huyu mwanamama, nita mp ajieleze vizur ili walau nimuonjeshe tu naiman atatoa mrejesho kwenu baada ya msaada wangu.

hapa naona kutakuwa na competition kali
 
Nisaidieni wana jf,Mimi ni mwanamke namiaka 35,nimeshakuwa na mausiano mengi tu,lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

pole sema unachotaka usaidiwe
 
Nisaidieni wana jf,Mimi ni mwanamke namiaka 35,nimeshakuwa na mausiano mengi tu,lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

Inabidi unitafuta Dr. Love nikutibie
 
Back
Top Bottom