Jamani,naombeni ufafanuzi wa tangazo la interview za NHIF la tarehe 8 juzi.
Wametoa ratiba na venue za interview bila kutoa shortlist ya majina!
SASA MIMI NITAJUAJE NA HUKU ZIMEBAKI SIKU CHACHE,,?
Na kuna haja gani ya kueleza vigezo vinavyomzuia mtu asiende kwenye interview wakati barua za maombi wanazo,,,?
Naombeni ufafanuzi kwa wenye uelewa jaman!
Wametoa ratiba na venue za interview bila kutoa shortlist ya majina!
SASA MIMI NITAJUAJE NA HUKU ZIMEBAKI SIKU CHACHE,,?
Na kuna haja gani ya kueleza vigezo vinavyomzuia mtu asiende kwenye interview wakati barua za maombi wanazo,,,?
Naombeni ufafanuzi kwa wenye uelewa jaman!