hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hilo linaitwa GUBU LA mimba hahaa
baadhi ya wanawake wakiwaga katika hali hiyo huwa wanajikuta ghafla tu wanavutiwa na kijana flani hapo mtaani
yaani siku ikiisha bila kumuona huyo kijana wakiume hajiskii mijarabu kabisa yaani
sasa itategemea nahuyo kijana atakuwa anajiheshimu vipi kuna wengine ambao hujiheshimu huwa wanaishia kuwa tania tu UTASKIA WEWE ITAKUWA MIMBA YAKO NI YAMTOTO WAKIUME HIYO NDIO MAANA WAMPNDA PENDA na kijana huwa havuki mipaka Zaidi ya hapo
ila sasa ikitokea kijana aliye bahatika kupendwa na mkeo akiwa nimshenzi mshenzi tabia zake kama za gudume MKUU TARAJIA KUONGEZEWA MASKIO NA PUA KWA HCHO KIUMBE CHA TUMBONI TOKA KWENYE ACID ZA HUYO KIJANA mla vya watu
baadhi ya wanawake wakiwaga katika hali hiyo huwa wanajikuta ghafla tu wanavutiwa na kijana flani hapo mtaani
yaani siku ikiisha bila kumuona huyo kijana wakiume hajiskii mijarabu kabisa yaani
sasa itategemea nahuyo kijana atakuwa anajiheshimu vipi kuna wengine ambao hujiheshimu huwa wanaishia kuwa tania tu UTASKIA WEWE ITAKUWA MIMBA YAKO NI YAMTOTO WAKIUME HIYO NDIO MAANA WAMPNDA PENDA na kijana huwa havuki mipaka Zaidi ya hapo
ila sasa ikitokea kijana aliye bahatika kupendwa na mkeo akiwa nimshenzi mshenzi tabia zake kama za gudume MKUU TARAJIA KUONGEZEWA MASKIO NA PUA KWA HCHO KIUMBE CHA TUMBONI TOKA KWENYE ACID ZA HUYO KIJANA mla vya watu