Sijapata unyumba kwa mke wangu miezi sita sasa

Mimba ya 3 ndo awe na visa vya aina hii..!!? Kwa uhakika nakuambia hakuna kitu km hicho..! Ukweli ni kwamba kuna tatizo zaidi nje ya hayo unayowaza..! Kwa miezi yote hiyo ambayo hajakupa na hana matatizo ya kiafya,anakula anashiba,familia ina amani hata kwa 51% tu,hawezi kukosa hamu ya tendo la ndoa..labda km hizo sababu hapo juu ni kinyume chake! Km hana hizo shida,maana yake kwa 10000% anapigwa nje na kibaya zaidi..huenda hata hiyo mimba siyo yako..mkeo atakuwa amefanyia kazi ule utafiti wa kila watoto 3 mmoja siyo wako...! Au mimba inaweza kuwa yako lkn kuna jamaa limedanganywa kuwa ni yake na ndo linapewa hiyo huduma na mkeo anatumia hiyo mimba kujilinda kwako.

Ushauri: mchunguze mkeo km hana hizo shida lazima anachepuka! Zingatia hilo neno nililotumia "Lazima".
 
Tangu wiki ya kwanza hujafanyanaye sex!!? Huku ni kushikwa na mwanamke, kumnyenyekea kulikopitiliza, kujitoa ufahamu yakuwa wewe ni mumewe na tendo la ndoa ni haki yako usipopewa unatakiwa kuidai hata kwa nguvu. Kwa sasa umeshachelewa maana huwezi tena kumlazimisha kwa usalama wa mziwanda wenu. Umetoka kuchepuka kwa miezi 6 unachokaje kumaluzia miezi 3 iliyobaki au ndio january vyuma vimekaza?
 
watoto wawili wa kwanza nahisi ni wa kike, huyo atakuwa dume mzee. Like poles repel, unlike poles attract. Hata usimsumbue, akijifungua utanielewa ninachomaanisha. Atakuomba msamaha yataisha
 
Yani heading na kilichomo tofauti...nilifikiri hajakupa miezi 6 toka muoane..kumbe ni mimba tu...kumbe mimba za mwanzo alikua anakupa ushirikiano..mzee we kua mvumilivu ajifungue si mkeo huyo? Basi mvumilie ...hizo ni mood swings tu za ujauzito huo ...bora hata wewe unalala nae kitanda kimoja ..wengine hawatak hata kuwaona waume zao..hata harufu yake hatak kuisikia ....usitafute sababu za ugomvi we endelea kumjali.
 
kwani hao watoto wa mwanzo ni wa kike wote! maana nimewahi kusikia mwanamke akibeba mimba ya mtoto wa kike anakuwa na hamu sana na mechi and viceversa is true
 
Wakuu Salaam.

Naomba kujifunza kutoka kwa wanandoa wenzangu ambao mmeshakutana na hii hali.

Nimeoa miaka kadhaa iliyopita na tumejaaliwa watoto wawili katika ndoa yetu na hivi sasa mke wangu ana ujauzito wa mtoto wetu wa tatu.

Katika mimba zake zote mbili zilizotangulia hasa ya kwanza alikuwa anapenda sana tendo la ndoa hadi mwezi wa kujifungua.Nakumbuka ilikuwa kama siku nikishinda nyumbani basi tuliweza kufanya hata mara kumi. Hadi ilifika mahali nilihisi ananizidi pumzi kwenye mechi ikanibidi nijifunze mbinu za kumudu mwendo mrefu ndipo nikafanikiwa kwenda nae sawa.

Alfajiri kabla hatujaamka ilikuwa lazima nimpe huduma, akinywa chai tu ananiita mechi inachezwa hadi muda wa lunch. Jua likipoa kidogo tunapiga tena mechi, saa kumi na mbili tunatoka tunakata mitaa kidogo tukiingia kulala mechi inapigwa tena na humo katikati ya usiku naamshwa mechi inapigwa vizuri tu. Kumbuka nilikuwa tayari nimepata darasa na uzoefu wa kumudu huo mchaka mchaka na nikawa naenjoy sana.

Aliposhika mimba ya pili hali iliendelea hivyo japo haikuwa kwa kasi ile ya mimba ya kwanza.

Sasa hivi ana mimba ya miezi mitano ya mziwanda wetu anaenda wa sita lakini tangu wiki ya kwanza ya ujauzito hadi leo hataki hata nimguse. Kifupi tunalala mzungu wa nne. Kila siku anasema yuko vibaya. Najitahidi kumuelewa na kumsaidia amalize safari yake salama bila kumsumbua lakini kiu ya tendo niliyo nayo ni kama mlevi aliyezuiwa na daktari kunywa pombe hadi apone.

Swali langu, Je hii ni kawaida? Ni njia gani bora ya kufanya ili kuvuka kipindi hiki kigumu kwa sisi wanaume waaminifu kwa ndoa zetu?

NB:
Tunalala mzungu wa nne kila mtu na shuka lake ili tusigusane kabisa maana kiu niliyonayo hata tukigusana miguu tu mimi nakuwa na hali mbaya kabisa.

Napenda kusikia kutoka kwa watu waaminifu kwa ndoa zao hasa wanaume mliopitia changamoto hii mlifanyaje.

Naomba kuwasilisha.

"Watoto" najua mpo humu itapendeza mkikaa kimya wakubwa wanapojadili mambo ya kikubwa.
Mkuu huo ni muda mfupi sana mi mwenzio wife akiwa preg bas sikutani nae hadi baada ya kujifungua almost ni mwaka yani miez tisa ya preg jumlisha mitatu baada ya kujifungu. Ni uvumilivu tu unahitajika
 
Sio njia mbadala hii...

Muhimu ongea nae, mweleze tu kwa upole akiwa kwny mood nzuri. Mwambie jinsi unavyommiss, na jinsi unatamani kumrutubisha huyo ajaye, na madhara ya kukusababisha uchepuke wakati yeye yupo na hutaki umkosee. Atakuelewa tu mkuu.

Hzo mood swing za wajawazito zivumilie
Watalaam wa hizi mambo
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom