Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Wanajukwaa wasioelewa mkongojo ni fimbo au kifaa chochote anachotumia mtu(mara nyingi wazee)kuwasaidia wakati wa kutembea. Lengo nikusaidia mtumiaji atembee bila shida yoyote.
Katika mkutano uliofanyika leo Mlimani City kati ya wazee wa Daresalaam na Mh. Rais mama yetu Samia Suluhu Hassan,nilitarajia kuona mikongojo mingi pale lakini haikua hivyo.
Nimegundua kwamba wazee wengi aidha hawapo DSM, wamerudi vijijini,wamependwa zaidi na maulana au vyovyote vile.
Lakini kwa wazee waliofika kumsikiliza Mh. Rais niwapongeze Ila zaidi ninampongeza sana sana Mama yetu kwa hotuba ya kuleta matumaini kwa wazee na taifa kwaujumla.
Ingawaje RC alionekana kuleta sura ya kisiasa lakini Mh. Rais hakufanya kama u ccm nihoja sana pale ndani. Hongera sana mama
Mama nakwambia hiviiiiii,kazi iendelee
Katika mkutano uliofanyika leo Mlimani City kati ya wazee wa Daresalaam na Mh. Rais mama yetu Samia Suluhu Hassan,nilitarajia kuona mikongojo mingi pale lakini haikua hivyo.
Nimegundua kwamba wazee wengi aidha hawapo DSM, wamerudi vijijini,wamependwa zaidi na maulana au vyovyote vile.
Lakini kwa wazee waliofika kumsikiliza Mh. Rais niwapongeze Ila zaidi ninampongeza sana sana Mama yetu kwa hotuba ya kuleta matumaini kwa wazee na taifa kwaujumla.
Ingawaje RC alionekana kuleta sura ya kisiasa lakini Mh. Rais hakufanya kama u ccm nihoja sana pale ndani. Hongera sana mama
Mama nakwambia hiviiiiii,kazi iendelee