Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
kasema mwenyewe .. huyu seerious anayaka demu si unaona hadi kaacha namba hapo? ww unawezaaaa?JF bwana. Ni kipi kimewafanya muamini kuwa hiyo ni picha yake??? Anyway hata kama ni yake ni ngumu kwa TZ kusema umri wa mtu kwa kuangalia sura. Kwa hiyo si haki kusema kuwa hasemi ukweli. Nakutakia kila la heri ila nadhani members wengi humu wako above your age hivyo yaweza kuwa shida kidogo kupata wa umri wako.