Sijaona mkare (4 girls)

B.O.G

Senior Member
Feb 17, 2011
144
40
kwa kawaida amtu ambaye yuko serious hatakiwi kutafuta mwenza kupitia mitandao, ila ina nibidi kufanya hivyo kwa kuwa ni tatizo na ninajaribu kulitafutia ufumbuzi . (kuhusu mimi) nina miaka 23, naishi dar , nimeajiliwa katika taaluma yangu, ni mrefu na mwembamba, mkweli , halisi , siyo rahisi kueleweka (complicated) ila kama ni mvumilivu na u give things time then utakuwa umepata bestfriend. ni mepanga na najitegemea . vingine siwezi kusema sababu ni vitu ambavyo unatakiwa uvione mwenyewe na unyambie kuwa mimi ni..................

(Mtu ambaye natafuta) uwe unajitambua , mvumilivu , asiwe mvutaji au mnywaji pombe , uwena upendo , ushold be urself , u alwasya need less , hardworker, huru , mwaminifu , sio mbaya pia kama unaweza kutabasamu . umri natarajia miaka 17 mpaka 23.
mengine ntakufahamisha pindi tutapo wasiliana.

samahanini wote ambao mmechukizwa na tangazo langu, maana ni wazi kwamaba vitu vipendwavo zaidi ndivyo pia vinachukiwa sana. NASHUKURU JAMIIFORUM na WEWE kwa kusoma.
(0653929491) OR O612929491

I don't need 2 much , just sm1 to love me 4me !!!!!!
 
Haya wana JF mambo yako uwanjani mwenye sifa hizo number za simu ndio hizo muanze Urafiki.
 
hi ndo picha yangu
 

Attachments

  • 249737_10150191540295382_554175381_7200827_3530728_n.jpg
    249737_10150191540295382_554175381_7200827_3530728_n.jpg
    31 KB · Views: 426
Mkubwa hio picha ulipigia dar? Umeji cover kama unapanda mlima kilimanjaro? Au ni swagger za hip hop?
 
Hivi wabongo tutaacha lini kusema uongo? Mkuu B.O.G umesema una miaka 23 lakini navyokuona mkuu yawezekana uko kwenye 29 au 30 hivi!! naomba ufafanuzi kidogo kuhusu umri wako kiukweli, kabla sijakuunganisha na dada yangu, yeye anazo sifa zote ulizosema na za ziada siwezi kuzisema.
labda jamaa nimchezaji kwasababu weng wa wachezaj wa kibongo graph yao ya age inaweza kubadilika au amekulia kijijin ameshka jembe sana
 
Hahahhah JF naipenda sana...mtu katoka huko kaja kichwa kichwa kaandika hivi ......
kwa kawaida amtu ambaye yuko serious hatakiwi kutafuta mwenza kupitia mitandao, ila ina nibidi kufanya hivyo kwa kuwa ni tatizo na ninajaribu kulitafutia ufumbuzi . (kuhusu mimi) nina miaka 23, naishi dar , nimeajiliwa katika taaluma yangu, ni mrefu na mwembamba, mkweli , halisi , siyo rahisi kueleweka (complicated) ila kama ni mvumilivu na u give things time then utakuwa umepata bestfriend. ni mepanga na najitegemea . vingine siwezi kusema sababu ni vitu ambavyo unatakiwa uvione mwenyewe na unyambie kuwa mimi ni..................

(Mtu ambaye natafuta) uwe unajitambua , mvumilivu , asiwe mvutaji au mnywaji pombe , uwena upendo , ushold be urself , u alwasya need less , hardworker, huru , mwaminifu , sio mbaya pia kama unaweza kutabasamu . umri natarajia miaka 17 mpaka 23.
mengine ntakufahamisha pindi tutapo wasiliana.

samahanini wote ambao mmechukizwa na tangazo langu, maana ni wazi kwamab vitu vipendwavo zaidI ndivyo pia vinachukiwa sana. NASHUKURU JAMIIFORUM na WEWE kwa kusoma.
(0653929491) OR O612929491
hahah pumbatupu kamwingiza mwenzake chakaaaaaaaaaa ... kampiga saundi eti aweke picha lake hahahha
Watumie picha yako..maana watoto wa kike wanapenda 'sura'...
mwane wane jamaa s akaweka kweliiiiiiii hahahahahahahah, mambo ya kuvamia mitandao haya ..
hi ndo picha yangu
seneta kaibuka huko kampa dongo hhahahha

Kwa jins ulivokomaa,cdhan ka utampata huyo mkare..

mwaana kapiga piga na minguo ya mbele anajua ndio mashori watamkubaliii hahaha
Mkubwa hio picha ulipigia dar? Umeji cover kama unapanda mlima kilimanjaro? Au ni swagger za hip hop?
mara kaambiwa aongeze umri kwa sababu ile picha yake na umri alioutaja haviendani jamani
Kila lakheri mkuu....
Ila hiyo miaka pandisha kidogo.
miaka 18 .....
hahh
no,inabid aidouble hyo miaka ndo 2tapata umri wake sahihi..
akidouble ina maana mwana ana kitu 36?? lakini kweli hii ndio inaendana na picha yake
tchao
 
Kama kweli upo 23yrs hutakiwi kuwa na haraka hivyo endelea kujipanga na pray for ur God akupe mke mwema mambo mazuri yataka subira na utulivu!!
 
Hahahhah JF naipenda sana...mtu katoka huko kaja kichwa kichwa kaandika hivi ...... hahah pumbatupu kamwingiza mwenzake chakaaaaaaaaaa ... kampiga saundi eti aweke picha lake hahahhamwane wane jamaa s akaweka kweliiiiiiii hahahahahahahah, mambo ya kuvamia mitandao haya .. seneta kaibuka huko kampa dongo hhahahha mwaana kapiga piga na minguo ya mbele anajua ndio mashori watamkubaliii hahaha mara kaambiwa aongeze umri kwa sababu ile picha yake na umri alioutaja haviendani jamani hahhakidouble ina maana mwana ana kitu 36?? lakini kweli hii ndio inaendana na picha yaketchao
Nimeipenda hii.
 
Tehe tehe tehe amedanganywa kwamba JF kuna madem wa bwelelee akaingia mzima mzima tehe tehe tehe.
 
Duh! Wale wakareeee sssaaasssaaaaa!! Inabidi wachangamke kabla jamaa hajawahiwa(kwa wanaotaka lakini)!!
 
Kwanza umesema watu ambao wako serious hawatafuti wenza mtandaoni ila na wewe umeunga tela na kutafuta...mpaka hapo nasena wewe sio MAKINI.

Then ukasema VINAVYOPENDWA sana ndivyo vichukiwavyo zaidi...kwahiyo wewe unapendwa sana?!Sasa mbona huko kupendwa kote bado hujapata kitu?!

Tatu mtu kakuingiza chaka uweke picha yako JF na wewe ukaweka utadhani aliyekwambia amewahi kuweka yake au anatarajia...mpaka hapo nasema wewe SIO MJANJA.

Sasa mbona wewe sio MKAREE?!Iweje utake wakare?!Na mtoto wa miaka 17 unataka kumpeleka wapi?!
 
Hivi wabongo tutaacha lini kusema uongo? Mkuu B.O.G umesema una miaka 23 lakini navyokuona mkuu yawezekana uko kwenye 29 au 30 hivi!! naomba ufafanuzi kidogo kuhusu umri wako kiukweli, kabla sijakuunganisha na dada yangu, yeye anazo sifa zote ulizosema na za ziada siwezi kuzisema.
usijari cheti cha kuzaliwa ninacho , hiyo ni picha 2 mkuu.
 
JF bwana. Ni kipi kimewafanya muamini kuwa hiyo ni picha yake??? Anyway hata kama ni yake ni ngumu kwa TZ kusema umri wa mtu kwa kuangalia sura. Kwa hiyo si haki kusema kuwa hasemi ukweli. Nakutakia kila la heri ila nadhani members wengi humu wako above your age hivyo yaweza kuwa shida kidogo kupata wa umri wako.
 
Back
Top Bottom