B.O.G
Senior Member
- Feb 17, 2011
- 144
- 40
kwa kawaida amtu ambaye yuko serious hatakiwi kutafuta mwenza kupitia mitandao, ila ina nibidi kufanya hivyo kwa kuwa ni tatizo na ninajaribu kulitafutia ufumbuzi . (kuhusu mimi) nina miaka 23, naishi dar , nimeajiliwa katika taaluma yangu, ni mrefu na mwembamba, mkweli , halisi , siyo rahisi kueleweka (complicated) ila kama ni mvumilivu na u give things time then utakuwa umepata bestfriend. ni mepanga na najitegemea . vingine siwezi kusema sababu ni vitu ambavyo unatakiwa uvione mwenyewe na unyambie kuwa mimi ni..................
(Mtu ambaye natafuta) uwe unajitambua , mvumilivu , asiwe mvutaji au mnywaji pombe , uwena upendo , ushold be urself , u alwasya need less , hardworker, huru , mwaminifu , sio mbaya pia kama unaweza kutabasamu . umri natarajia miaka 17 mpaka 23.
mengine ntakufahamisha pindi tutapo wasiliana.
samahanini wote ambao mmechukizwa na tangazo langu, maana ni wazi kwamaba vitu vipendwavo zaidi ndivyo pia vinachukiwa sana. NASHUKURU JAMIIFORUM na WEWE kwa kusoma.
(0653929491) OR O612929491
I don't need 2 much , just sm1 to love me 4me !!!!!!
(Mtu ambaye natafuta) uwe unajitambua , mvumilivu , asiwe mvutaji au mnywaji pombe , uwena upendo , ushold be urself , u alwasya need less , hardworker, huru , mwaminifu , sio mbaya pia kama unaweza kutabasamu . umri natarajia miaka 17 mpaka 23.
mengine ntakufahamisha pindi tutapo wasiliana.
samahanini wote ambao mmechukizwa na tangazo langu, maana ni wazi kwamaba vitu vipendwavo zaidi ndivyo pia vinachukiwa sana. NASHUKURU JAMIIFORUM na WEWE kwa kusoma.
(0653929491) OR O612929491
I don't need 2 much , just sm1 to love me 4me !!!!!!