Mkude muhimu lakin nidhamu muhimu zaidi.Wadau kesho Simba inacheza na Platinum kufuzu hatua ya makundi mimi binafsi kama mpenzi wa Simba FC cjaona mbadala wa Mkude ambaye huenda asicheze kutokana na madai yake ya utovu wa nidhamu.
Naomba kuwasilisha wakuu #SIMBA NGUVU MOJA
Mi nikajua Mkude Simba wa Moro goroWadau kesho Simba inacheza na Platinum kufuzu hatua ya makundi mimi binafsi kama mpenzi wa Simba FC cjaona mbadala wa Mkude ambaye huenda asicheze kutokana na madai yake ya utovu wa nidhamu.
Naomba kuwasilisha wakuu #SIMBA NGUVU MOJA
Nina uhakika Kinena anacho, labda uliza kitu kingine.Una uhakika na unacho kinena?
😂 😂 😂 😂 😂Nina uhakika Kinena anacho, labda uliza kitu kingine.
Manara si ameshasema kesi ya mkude wameshaitatua, naona atacheza bila shakaWadau kesho Simba inacheza na Platinum kufuzu hatua ya makundi mimi binafsi kama mpenzi wa Simba FC cjaona mbadala wa Mkude ambaye huenda asicheze kutokana na madai yake ya utovu wa nidhamu.
Naomba kuwasilisha wakuu #SIMBA NGUVU MOJA
Anaumwa nini ?
Mpira sio mafunzo ya upadre boss.Mkude muhimu lakin nidhamu muhimu zaidi.
Kwani wakati Platinum wanapata goal nyoni hakuwepo?Mkude anacheza tu hiyo namba kwa vile hakuna namna...kwa kifupi yeye mwenyewe haimudu...na mara nyingi magoli mengi tunayofungwa chanzo ni yeye....sio mkabaji mzuri....kwa kesho Erasto Nyoni atafiti vizuri.
Nyoni anatoshaWadau kesho Simba inacheza na Platinum kufuzu hatua ya makundi mimi binafsi kama mpenzi wa Simba FC cjaona mbadala wa Mkude ambaye huenda asicheze kutokana na madai yake ya utovu wa nidhamu.
Naomba kuwasilisha wakuu #SIMBA NGUVU MOJA