kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Wewe hujui mpira bongo hakuna kama mkude.Nilikuwa nagombana sana na jamaa zangu kuhusu Mkude kwa kifupi uwezo wake unashuka kila siku baada ya Fraga kuanza kuchezeshwa ndipo madhaifu ya Mkude yakaonekana kwa kifupi hawezi kukaba zqidi ya kucheza rafu, anapiga mipira ya upande mmoja pia ni mzito kufanya maamuzi anapokuwa na mpira