Mnajikuta wachambuzi kumbe hewa tu.Sijakuelewa mkuu, yani madhaifu ya mkude yameanza kaonekana baada ya fraga kuanza kuchezeshwa, unajua kama hao wanacheza namba tofauti? Na kama unataka mkude acheze vizuri inabid kuwe na Natural namba 6 ambae ni fraga ambae anampuguzia majukumu ya kukaba kwakuwa hiyo sio kazi yake namba 1, mkude ni holding hivo kazi yake sio kukaba na ndomana anafanya makosa mengi kwenye kukaba.
Sema tenaTutawaona leo bila mkude
Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madharaMkuu mkude anacheza pamoja na fraga, na siku ya derby ni kweli alisababisha faul iliyozaa goli ila Haina maana kwamba alikuwa anacheza kiungo mkabaji, siku ile kiungo mkabaji alikuwa ni mzamiru, sikatai mkude sio mzuri kwenye kukaba ila sishangai kwakuwa sio kazi yake namba 1 ispokuwa ni ziada tu, mkude acheze mbele ya mtu kama fraga au kotei ndo utamuonea raha
Ila akicheza na mzamiru mambo yanakuwa tafrani maana mzamiru anakaba sana ila anapoteza sana mipira hivo kupelekea mkude kuvaa jukumu la kuanza kukaba ilhali hayupo vizuri kwenye discipline ya ukabaji ndo hapo anakuwa kwenye hatari ya kupata njano mara kwa mara, ila kama kuna 6 mzuri kazi yake ni kusambaza mipira kwa mawing back wanapo overlap pamoja na viungo maana ni mzuri sana kwa kupeleka timu mbele kwakuwa anapiga long range za accuracy sana
Me nimetoa maoni tu mkuu wala sio mchambuzi, kufungwa afungwe platnum mnaumia ndugu zetuMnajikuta wachambuzi kumbe hewa tu.
Pamoja mkuuNkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Na ile ya kumkwatua Morrison mechi na Yanga wakatufunga goli moja kwa hiyo adhabu alifanya huyohuyo mtu.Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Simba bila mkude
1)Platinum kafa nne
2) mbili zimekula nguzo
3) offside mbili za uongo ambazo zingeweza kuwa goals
4)CLEAN SHEAT
... cjaona mbadala wa Mkude ambaye huenda asicheze kutokana na madai yake ya utovu wa nidhamu.
Bila shaka unaendelea kuonaTutawaona leo bila mkude
Ud songo alifanya nyoni sio mkudeNkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Mkude zamani siyo sasa,na kilichoshusha kiwango chake ni utovu wa nidhamu,ulevi wa pombe na ganja.Wewe hujui mpira bongo hakuna kama mkude.
MkudeUd songo alifanya nyoni sio mkude