Sijamwelewa huyu CEO wa ATCL

Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Ndiyo haya nilikuwa nayazungumzia...
 
Ndio hata ndege za umoja wa mataifa hufanya role zote na mashirika yote ya ndege duniani hufanya role zote za abiria na mizigo wakipata mizigo ya uhakika Viti vinaondolewa mizigo inapakiwa wakimaliza Viti vinarudishwa abiria wanapanda maisha yanaendelea.
Siyo kweli kuna tofauti kama ilivyo kwenye bus la Scania na lorry la Scania. Ndege ya abiria ni ghali zaidi kwa sababu hizo samani ambazo in ghali sana.
 
Yaani ATCL Sasa hivi wao ndio kama sole service provider wa usafiri wa anga.Yaani Raisi Magufuli wakishindwa kufanya biashara fukuza wote hadi messenger Na mfagiaji.Ajiri watu wapya.Baraza la wafanyakazi na chama cha wafanyakazi ATCL kama menejimenti hawawezi endesha shirika wakomalieni vinginevyo kibarua kitaota majani kwenu wote.Msilete mzaha na ujinga kwenye customer care na good services to customers.Mtaondoka wrote na mafao mtalipwa baada ya miaka 20 Toka Sasa .Mimi Niko tayari kufungua kesi ya uhujumu uchumi dhidi yenu ambayo mkishafukuzwa itachukua miaka mingi kuamuliwa ili mradi nihakikishe hampati hata shilingi Moja ya mafao mkiafukuzwa Kazi
Mkuu nina hummer hapa na cadillac nakupa bure kabisa
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Laa'na tulah
 
Yaani ATCL Sasa hivi wao ndio kama sole service provider wa usafiri wa anga.Yaani Raisi Magufuli wakishindwa kufanya biashara fukuza wote hadi messenger Na mfagiaji.Ajiri watu wapya.Baraza la wafanyakazi na chama cha wafanyakazi ATCL kama menejimenti hawawezi endesha shirika wakomalieni vinginevyo kibarua kitaota majani kwenu wote.Msilete mzaha na ujinga kwenye customer care na good services to customers.Mtaondoka wrote na mafao mtalipwa baada ya miaka 20 Toka Sasa .Mimi Niko tayari kufungua kesi ya uhujumu uchumi dhidi yenu ambayo mkishafukuzwa itachukua miaka mingi kuamuliwa ili mradi nihakikishe hampati hata shilingi Moja ya mafao mkiafukuzwa Kazi
Magufuli ndiye kasababisha uozo huu kwa kuingilia biashara ya ndege na kutaka kuiendesha kisiasa, kununua midege mikubwa bila hata business plan ya kueleweka wala open tender.

Halafu unasema hawa vinyangarika wake wakishindwa awafukuze kazi?
 
Nilimuona jana pia kwenye taarifa ya Azam yaani hata alivyokuwa akiongea ukitazama body language unaona hayupo sawa ni kana kwamba ana hofu anapepesa macho kama kuna mtu anamuangalia yaani hakuwa comfortable kabisa kipindi anahojiwa

Tukirudi kwenye mada mimi nilitegemea kipindi hiki ambacho ni kama ATCL ndiyo ameshika anga kwa local routes ndiyo ungekuwa wakati wao wa kumake super normal profit maana ana uhakika wa wasafiri kwa route zote wangeboresha huduma zao kwa kiasi kikubwa ndege ziondoke kwa muda bila delaying, customer care iwe ya viwango mpk abiria waone kuwa ATCL ndiyo chaguo sahihi ili hata huko mbeleni wakipata mshindani bado watu wawachague ila kwa hali hii ikitokea mshindani watu wote watawahama
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Mimi nimemuelewa mkuu, kwa awamu hii ukiwa mkweli utatumbuliwa mapemaa. Jamaa anaongea kinyume hapo halafu bwana Pogba akiona taarifa hiyo mi meno nje njeee
Wew uliona wapi Dukani kwako wateja wanakuja halaf wew unafunga duka unaenda kulala eti umezidiwa na wateja
 
Yaani ATCL Sasa hivi wao ndio kama sole service provider wa usafiri wa anga.Yaani Raisi Magufuli wakishindwa kufanya biashara fukuza wote hadi messenger Na mfagiaji.Ajiri watu wapya.Baraza la wafanyakazi na chama cha wafanyakazi ATCL kama menejimenti hawawezi endesha shirika wakomalieni vinginevyo kibarua kitaota majani kwenu wote.Msilete mzaha na ujinga kwenye customer care na good services to customers.Mtaondoka wrote na mafao mtalipwa baada ya miaka 20 Toka Sasa .Mimi Niko tayari kufungua kesi ya uhujumu uchumi dhidi yenu ambayo mkishafukuzwa itachukua miaka mingi kuamuliwa ili mradi nihakikishe hampati hata shilingi Moja ya mafao mkiafukuzwa Kazi
Kwahiyo hao ndo wamekataza watu kupanda midege? Hivi hizi ni akili za wapi?
 
Ni kawaida ndege kubeba mizigo wewe..Viti vinaondolewa kwenye reli unapakia mizigo.Wewe mshamba unadhani Viti vya ndege ni sawa na Viti vya mabasi ya daladala vilivyochomelewa welding!!!.Ndege waweza Toa Viti vyote dakika tu ndege ikabeba mizigo ya Aina yeyote.Ushamba mizigo.Wewe mshamba tu
Kweli mkuu ndiyo maana siku hizi hamna ndege za mizigo(Cargo Air) . Endelea kutoa elimu mkuu
 
Yaani ATCL Sasa hivi wao ndio kama sole service provider wa usafiri wa anga.Yaani Raisi Magufuli wakishindwa kufanya biashara fukuza wote hadi messenger Na mfagiaji.Ajiri watu wapya.Baraza la wafanyakazi na chama cha wafanyakazi ATCL kama menejimenti hawawezi endesha shirika wakomalieni vinginevyo kibarua kitaota majani kwenu wote.Msilete mzaha na ujinga kwenye customer care na good services to customers.Mtaondoka wrote na mafao mtalipwa baada ya miaka 20 Toka Sasa .Mimi Niko tayari kufungua kesi ya uhujumu uchumi dhidi yenu ambayo mkishafukuzwa itachukua miaka mingi kuamuliwa ili mradi nihakikishe hampati hata shilingi Moja ya mafao mkiafukuzwa Kazi
Tulishawajulisha hapa biashara ya ndege sio kama kandarasi za ujenzi wa barabara mkatuona wajinga.

Nyie MaCCM mtaambia nini watu??
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
[/QUOTE
Wasimame kamani wengi
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Ratiba ya Mtwara inachezewa kila siku... Wanaandika kwenye tiketi ndege inaondoka saa moja, lakini wapi..!!! MTU karipoti toka saa 11 alfajili lakini anaondoka saa 3
 
Katika nchi inapitia wakati mgumu ni Tanzania.Mungu atujalie tu.

Wamemfukuza Fastjet na kutengeneza monopoly.Sasa demand inawashinda.Kwa nini ukutumia busara katika suala la fastjet.Useless kabisa.

Kwa fleet yao ya ndege 6 wataweza kucover destinations zote efficiently za local na international.Thubutu.Sasa watanzania wajiandae kupanda mabasi.Frequency hazitaendana na demand na hakuna alternative.
 
Ni kawaida ndege kubeba mizigo wewe..Viti vinaondolewa kwenye reli unapakia mizigo.Wewe mshamba unadhani Viti vya ndege ni sawa na Viti vya mabasi ya daladala vilivyochomelewa welding!!!.Ndege waweza Toa Viti vyote dakika tu ndege ikabeba mizigo ya Aina yeyote.Ushamba mizigo.Wewe mshamba tu
Ulivyo bwege umetumia nguvu nyingi kufafanua kauli yangu anbayo haikuhitaji ufafanuzi. Huoni kama umekubaliana na mimi kuwa mbuzi na nyama yake ni wateja wa ndege zetu? Au kuna mtu alitaka ufafanuzi wa namna zinavyopakia na kupakiwa?
 
Nchi yenye watu mil 55 na mpaka leo imeshindwa kujiweka sawa kwenye usafiri wa anga, magu alijua solution ni kununua ndege akasahau kuwa wasimamizi ni wale wale walio kula ndege karibu 5. Huyo CEO alitakiwa kufukuzwa mara moja maana kazi imemshinda. Na nyie watanzania sasa ndio mjifunze mara ya pili msitupe uraisi sisi wasukuma, tunasumbuliwa na tatizo la ushamba.
 
Muda Muafaka wa kuitimua bodi na wakirigenzi wote wa Shirika wakodiwe viongozi wapya.
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Kesha pandikizwa ubungo wa humprey polepole
 
Nimemuona huyu CEO kwenye taarifa ya habari akilalamika kwamba eti abiria wanaotaka kutumia usafiri wa ndege wamekuwa wengi hivyo kuathiri na kusababisha kusitishwa na kucheleweshewa ratiba ya Safari za ndege.

Aliyemwelewa naomba anisaidie manake idadi ya siti kwenye ndege inajulikana wakishakata wanaotosheleza si chombo kinaondoka any how ndege Zina ratiba zake hata ikiwa haijaja inatakiwa iondoke kufuatana na ratiba.

Eti analalamika abiria wamekuwa wengi hivyo kusababisha kusitishwa kwa Safari.

Ana mpango wa kuongeza bodi hayo madege au ndio kazi imemshinda anaongea mapumba na mashudu yasiyoeleweka.

Biashara ya ndege ni ngumu tumeingizwa choo Cha kike na jiwe.

Itabidi jiwe azitapike hizo hela zetu alizotumia kienyeji kununulia ndege.
Aiingii akiline eti abiria kuongezeka kusababishe kusitisha Safari.

Kama Kuna anayeelewa vizuri / au alimwelewa yule Komba anieleweshe alikuwa anamaanisha Nini kwenye ongezeko la abiria na kusitishwa kwa Safari za ndege
Ukiona hivyo ujue kashindwa kazi
 
Back
Top Bottom