Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Ni kawaida ndege kubeba mizigo wewe..Viti vinaondolewa kwenye reli unapakia mizigo.Wewe mshamba unadhani Viti vya ndege ni sawa na Viti vya mabasi ya daladala vilivyochomelewa welding!!!.Ndege waweza Toa Viti vyote dakika tu ndege ikabeba mizigo ya Aina yeyote.Ushamba mizigo.Wewe mshamba tu
Halafu mizigo utai-secure vipi baada ya kuondoa viti? Muwe mnasoma na kuelewa. Ndege ya abiria inaweza kuwa converted kuwa freighter lakini sio kirahisi kama unavyofikiri. Soma hapa halafu utuambie kama kilichoandikwa kina uhusiano na ulichozusha hapa.