Sijamwamini SLAA..

Nani mmiliki wa SAUT?
 
Chadema haiwezi kuwa na wanachama wa hovyo kama wewe ndugu Remote

kaka sipo kipropaganda.. Nlichouliza nimemaanisha; mimi ni mwanachadema hai sielewi kwanini umenishusha namna hiyo
 
Last edited by a moderator:
Kwa hali iliyopo CCM,K wa uwiz na ujambaz wao hata mseme nini kuhusu CHADEMA mmetukosa!juzi nimerudi kijijini nimekuta Mama yangu ana kadi ya UWT no125...kumbe ktk wanawake 150 wa UWT mama yangu yumo...lakn kina Sophia Simba wapo tu hawajui!
 
Mzee wa kiminyio anawafuasi kama wa kibwetere.
 

Kama haumwamini Dr.Slaa unamwamini nani? au unaiamini CCM na viongozi wake tufanye Dr kweli kakopa Sh Ml 140 na linganisha na wale walichukua zile fedha za EPA wale waliiba lakini huyo unaemuamini alitoa wito watu hao warudishe hizo fedha je walirudisha na kama walirudisha ni Sh ngapi na ni akina nani hao? kama hawajulikani je unachokiamini kina ukweli ndani yake mimi naona ni ushabiki tu unaokusumbua
 
kaka sipo kipropaganda.. Nlichouliza nimemaanisha; mimi ni mwanachadema hai sielewi kwanini umenishusha namna hiyo
Naona unajitetea kwa father getho wa Chadema JF,Molemo mfukuzeni huyu anapingana na kanuni za chama chenu kuwaabudu viongozi.
 
kaka sipo kipropaganda.. Nlichouliza nimemaanisha; mimi ni mwanachadema hai sielewi kwanini umenishusha namna hiyo

Remote ukinithibitishia wewe ni mwanachama wa Chadema mimi nitatupa kadi yangu sasa hivi.

Siwezi kuwa kwenye chama ambacho wewe ni mwanachama wake mtu unayekesha kwenye mitandao kutukana na kukashifu viongozi wa Chadema.

Cc Shardcole
 
Last edited by a moderator:

Kachukue posho yako umeshamaliza.Dr Slaa hata akichukua mil 500 kwa kazi anayofanya kupambana na nyie anastahili kabisa.Tena sio kumkopesha Hapana achukue kabisa......!
 
Leo wanachota hela za Ruzuku, hela ambayo kazi yake ni kukijenga chama na sio kujenga viongozi.
Niliishasema sana hapa toka mwanzo chadema ni kikundi cha wapiga deals
CHAma cha DEals na MAgumashi = CHADEMA au kwa tafsiri nyingine ni CHAGA DEAL MAKERS
Hapo watu wanapiga deals tu kwa kutumia matatizo ya wananchi kama cover. si muda mrefu wataanza kuumbuka
 
Remote
ukinithibitishia wewe ni mwanachama wa Chadema mimi nitatupa kadi yangu
sasa hivi.

Siwezi kuwa kwenye chama ambacho wewe ni mwanachama wake mtu unayekesha
kwenye mitandao kutukana na kukashifu viongozi wa Chadema.

Cc Shardcole

ila ulitaka kwakuwa yy ni cdm basi awatukane viongozi wa ccm kama mnavyofanya nyie? hatuwezi kupingana bila matusi?
 
Last edited by a moderator:

Michango yote ya M4C haifiki milioni 140! Lakini hata kama inafika lengo la michango ya M4C ni kwa ajili ya mikopo?
 

A.K.A CHAma cha Maendeleo ya Masalia (CHAMAMA)
 
Udokta wa JK ni wa heshima ni kawaida kwa vyuo vikuu duniani kuutoa kutokana na mchango fulani kwenye jamii.Udokta wa katibu wako hata TCU hawautambui ni wa elimu ya dini tu tena dhehebu la katoliki tu.

Hujajibu hoja bali umeteta pumba kwa kutoa mawazo mfu.
 
Kachukue posho yako umeshamaliza.Dr Slaa hata akichukua mil 500 kwa kazi anayofanya kupambana na nyie anastahili kabisa.Tena sio kumkopesha Hapana achukue kabisa......!

Finished! Hopeless kabisa. Utakuwa wapi sasa huo utawala bora? Kumbe wanaopigania M4C wanataka kujinufaisha wao binafsi kwanza?
 
Michango yote ya M4C
haifiki milioni 140! Lakini hata kama inafika lengo la michango ya M4C
ni kwa ajili ya mikopo?

utambiwa masalia au umetumwa na nape, sijui kwann cdm hawapendi kukosolewa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…