Serikali acheni usiri, bunge halijaafiki marekebisho ya sheria. Je nini hatima ya DP World na mkataba wake?

Hennes kolon

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
673
1,287
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha na kuunga mkono Dp world apewe kazi za kuendesha biashara ya bandari zote za Tanganyika, huu ulikuwa msimamo wa bunge episode 1.

Episode 2 ,bunge likakataa kuridhia ombi la serikali la marekebisho ya sheria za usimamizi wa maliasili za Tanganyika . baada ya huu msimamo wa bunge episode 2 ambao umeungwa mkono na Watanganyika almost wote, na ndicho kilikuwa kilio Chao.

Ila serikali haijatoa tamko juu ya nini kinaendelea ,je Dp world atapewa ule mkataba hivyohivyo kimyakimya, au ndoa hii ya mkataba wa hovyo imevunjika rasmi!! Watanganyika na watanzania wanataka waambiwe waziwazi nn hatma ya huo mkataba?

Serikali acheni ukimya na usiri, tokeni nje mtueleze nn kinaendelea ili roho za watanganyika na watanzania wote zitulie.
 
Kuondoka kimya kimya nao ni uungwa sio lazima tukiri kushindwa huo sio uanamme,tunaachia mzigo kimyakimya Kama Simba aachiavyo windo.
 
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha na kuunga mkono Dp world apewe kazi za kuendesha biashara ya bandari zote za Tanganyika, huu ulikuwa msimamo wa bunge episode 1.

Episode 2 ,bunge likakataa kuridhia ombi la serikali la marekebisho ya sheria za usimamizi wa maliasili za Tanganyika . baada ya huu msimamo wa bunge episode 2 ambao umeungwa mkono na Watanganyika almost wote, na ndicho kilikuwa kilio Chao.

Ila serikali haijatoa tamko juu ya nini kinaendelea ,je Dp world atapewa ule mkataba hivyohivyo kimyakimya, au ndoa hii ya mkataba wa hovyo imevunjika rasmi!! Watanganyika na watanzania wanataka waambiwe waziwazi nn hatma ya huo mkataba?

Serikali acheni ukimya na usiri, tokeni nje mtueleze nn kinaendelea ili roho za watanganyika na watanzania wote zitulie.
Mkataba bado unaendelea kwa kutumia sheria za nchi zilizopo. Lugha gongana tayari maana kwenye mkataba wamekubali DP World atapewa bandari zote zilizopo kwenye bahari na maziwa pamoja na parking logistics maandishi ambayo bado hayajabatilishwa. Hapa serikali inaleta mzaha ka masuala ya msingi tena kwa nia OVU ni jukumu la wananchi kulipeleka suala hili mahakamani ili itafutwe tafsiri sahihi kwa mkanganyiko uliopo sasa. Tangazo lililotolewa na TPA ni udanganyifu wa serikali kwa maslahi ya watu binafsi
 
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha na kuunga mkono Dp world apewe kazi za kuendesha biashara ya bandari zote za Tanganyika, huu ulikuwa msimamo wa bunge episode 1.

Episode 2 ,bunge likakataa kuridhia ombi la serikali la marekebisho ya sheria za usimamizi wa maliasili za Tanganyika . baada ya huu msimamo wa bunge episode 2 ambao umeungwa mkono na Watanganyika almost wote, na ndicho kilikuwa kilio Chao.

Ila serikali haijatoa tamko juu ya nini kinaendelea ,je Dp world atapewa ule mkataba hivyohivyo kimyakimya, au ndoa hii ya mkataba wa hovyo imevunjika rasmi!! Watanganyika na watanzania wanataka waambiwe waziwazi nn hatma ya huo mkataba?

Serikali acheni ukimya na usiri, tokeni nje mtueleze nn kinaendelea ili roho za watanganyika na watanzania wote zitulie.
DP World wapigie simu hii: 022 211 6250 utapata habari zao kamili.
 
Kuondoka kimya kimya nao ni uungwa sio lazima tukiri kushindwa huo sio uanamme,tunaachia mzigo kimyakimya Kama Simba aachiavyo windo.
Na Januari kama mnufaika tumempeleka mambo ya nje ili asimamie urejeshwaji wa hela za watu
 
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha na kuunga mkono Dp world apewe kazi za kuendesha biashara ya bandari zote za Tanganyika, huu ulikuwa msimamo wa bunge episode 1.

Episode 2 ,bunge likakataa kuridhia ombi la serikali la marekebisho ya sheria za usimamizi wa maliasili za Tanganyika . baada ya huu msimamo wa bunge episode 2 ambao umeungwa mkono na Watanganyika almost wote, na ndicho kilikuwa kilio Chao.

Ila serikali haijatoa tamko juu ya nini kinaendelea ,je Dp world atapewa ule mkataba hivyohivyo kimyakimya, au ndoa hii ya mkataba wa hovyo imevunjika rasmi!! Watanganyika na watanzania wanataka waambiwe waziwazi nn hatma ya huo mkataba?

Serikali acheni ukimya na usiri, tokeni nje mtueleze nn kinaendelea ili roho za watanganyika na watanzania wote zitulie.
Ila serikali haijatoa tamko juu ya nini kinaendelea ,je Dp world atapewa ule mkataba hivyohivyo kimyakimya, au ndoa hii ya mkataba wa hovyo imevunjika rasmi!! Watanganyika na watanzania wanataka waambiwe waziwazi nn hatma ya huo mkataba
 
Bado siamini, bunge hilihili ninalolijua Mimi, linaweza kukataa chochote toka serikalini? Nahisi mchezo wa kuigiza. Hawana uthubutu huo, labda Kama waliambiwa, tunaleta mswada Ila ukataeni ili na nyie muonekane mna ka msimamo.
Siku zote kazi yao ni kumshambulia mbunge na yeyote asieunga mkono chochote toka serikalini, na kutishia kumvua uanachama, eti Leo wanauzalendo wa kukataa miswada ya hovyo wakati DP Word ya hovyo zaidi wameikubali kwa kushangilia
 
Back
Top Bottom