Sijaitisha Mkutano wowote 04/09/2015. Sina sababu ya kumshambulia Dr. Slaa. Tutashinda Uchaguzi

Wapinzani wana asset nyingi , tatizo lao ni hili la kushindwa kuziweka na kuzitumia kikamilifu

Ben Saanane kaeleza vizuri sana kuwa alishiriki katika meza ya majadiliano kisiasa na kidiplomasia

Kwa kutambua hilo , kuna nyakati anatakiwa awe sehemu ya suluhu na si tatizo

Watu wajifunze utamaduni wa kukubaliana, kutokubaliana na kukubaliana kutokubaliana bila vurugu,chuki au hasira

Sion kwanini watu wasema Ben 'hajamshambulia mtu'' . Hakuna ulazima wa kushambulia tu ili afurahishe watu

Kwa Ben Saanane, wanaoomba kushambulia na wanazusha maneno dhidi yako, hilo si jambo baya.

Maana yake wanakupa 'vote of confidence' kwamba katika masuala kadhaa , wangependa kukisikia.

Unachotakiwa si kusema wanachotaka kusikia . bali kile unachotaka kuwaambia
 
Naandika kuweka sawa taarifa zilizojaa upotoshaji ambazo zimekua zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na pia kwenye vyumba vya habari tangu jana usiku . Sitawajibia wengine.

Kwanza,Iliandikwa kwamba mimi Ben Saanane na baadhi ya maofisa wa CHADEMA makao Makuu na wakurugenzi wa chama cha CUF tumeandaa mkutano na waandishi wa Habari Serena Hotel siku ya Ijumaa Tarehe 04/09/2015 Saa saba Mchana

Pili ,Taarifa hiyo ikaibua mijadala JamiiForums na mitandao mingine ya kijamii ikiambatana na tuhuma kuwa tunaungana na Dr.Slaa na Prof.Lipumba na kuwa tumehongwa

Tatu,Zikaibuliwa Tuhuma kuwa sijawahi kushiriki mijadala ya kukijenga chama changu tangu Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa Mgombea Urais badala ya Dr.Slaa.

Nne,Zikaibuliwa tuhuma kuwa nipo vitani dhidi ya chama chetu na watu hao kurejea sakata la kikanuni ndani ya Chama kati ya aliyekua Naibu Katibu Mkuu Ndugu Zitto,Mjumbe wa Kamati Kuu Dr.Kitila Mkumbo dhidi ya Chama na Ushiriki wangu katika sakata lile.

Naomba nifafanue kulingana na mahitaji ya wakati kisha nitaweka akiba baadhi ya masuala.kwa maslahi ya Harakati za Mageuzi,Nchi Yangu,Chama Changu,Harakati zangu kisiasa na pia mustakabali mwema kwa wale ninaoheshimu mchango wao kwa Taifa letu.

Kwanza, Sijaandaa mkutano wowote na waandishi wa Habari na sina sababu ya kufanya hivyo hivi sasa.

Pili,Ni kweli sijaandika kwa kiwango ambacho pengine kingeridhisha baadhi ya watu .

Sikufanya hivyo kwa bahati mbaya (yaani kutokuandika) bali kwa malengo Mahsusi kitaaluma na kisiasa.

Chama Chetu na umoja wetu -UKAWA kimekua katika changamoto ya kisiasa kufuatia msimamo wa katibu Mkuu Dr.Slaa na pia msimamo wa Mwenyekiti Mwenza Prof.Lipumba.

Jitihada za kisiasa na kidiplomasia zilifanyika kwa kiwango kikubwa ili kuhakikisha hatumuachi mtu hata mmoja nyuma katika safari yetu hii ya Mwisho ya vuguvugu la mabadiliko

Katika jitihada za kidiplomasia na kisiasa,nilihusika moja kwa moja.

Sikuona mantiki yoyote kuandika kutokana na kuwa mojawapo wa kanuni za msingi kabisa katika majadiliano ya kidiplomasia ni kuhakikishwa kuwa washiriki wa meza ya mazungumzo hawaonyeshi misimamo ya kuegemea upande fulani ikiwa kweli wana lengo la dhati la kushawishi pande zote au upande mwingine ukubaliane kutokubaliana

Ni lazima kuwe na mazingira ya imani(confidence atmosphere).

Kutokuandika ndio "Confidence Atmosphere" yenyewe ambayo katika meza ya mazungumzo/majadiliano (Negotiation Table) ni silaha mahsusi kwa wanataaluma,wataalamu wa Diplomasia na wanasiasa Makini huitumia kuepusha mifarakano na kuafikiana.

Haya ni masuala ambayo nimejifunza sana kupitia taaluma yangu ya Uhusiano wa Kimataifa na diplomasia,Pia kiutendaji na malezi ya kisiasa na kiuongozi kutoka kwa baadhi ya viongozi .Hivyo kumshambulia Dr.Slaa ingekua najiweka katika nafasi ya kichocheo(Catalyst position) katika migongano.

Vilevile,Habari zimesambazwa kuwa simshambulii Dr.Slaa tangu juzi.

Ni Kweli sioni Sababu ya kumshambulia Dr.Slaa .Sifuati Mkumbo,Sifuati mihemko na wala sijawahi kujipendekeza kwa yeyote na sina mpango huo.Nafuata maadili ya kitaaluma kutoka kwa walimu wangu,uzoefu wa kiweledi kutoka katika Mashirika na taasisi mbalimbali ikiwemo malezi ya kiuongozi ndani ya chama changu


Sijawahi kufundishwa kumshambulia mtu hasa bosi wangu wa Zamani au taasisi niliyokua nikiifanyia kazi unless nitoe ufafanuzi kwa suala linalogusa moja kwa moja idara yangu au mimi binafsi.Chama au UKAWA kina wasemaji wake,wanatosha.

Kwangu yeye anaendelea kubakia kuwa Kiongozi wa mfano,Boss wa mfano ambaye Msomi yeyote angejivunia na kujisikia huru kufanya nae kazi.Hakika nitamkosa sana kiofisi

Tarehe 28 July,2012 siku ya Jumamosi nikiwa nyumbani kwake , Dr.Slaa mwenyewe aliwahi kuniambia "Dont Support Slaa,You Should Support and fight for the right Cause".Niliheshimu na naendelea kusimamia hilo hata kama kuna mahali ameteleza kama bindamu.Nitachukua yote mazuri.Mara ya Mwisho (siku chache zilizopita) nilipowasiliana nae alinisihi niheshimu maamuzi yake kama ninavyotarajia aheshimu ya kwangu.Nilifanya hivyo.

Nitaendelea kumuheshimu Dr.Slaa kama kiongozi aliyenilea kiuongozi na kuboresha weledi wangu kiutendaji kwa kuwa ana mchango mkubwa kwangu katika malezi ya kiuongozi na sitasita kumfuata na kumuomba ushauri kama nifanyavyo kwa Dr.Salim Ahmed Salim, Prof.Kitila Mkumbo,Kaka yangu Tundu Lissu na Rafiki yangu Halima Mdee hata Ndugu Zitto Kabwe ambae tulikuja kuunganishwa pamoja tena katika vita ya ESCROW na wengineo.


Sioni mantiki ya mimi kumshambulia Dr.Slaa kwa kuwa pia mamlaka zinazohusika zinaweza kujibu pale inapoonekana kuna ulazima au pale ambapo nafasi yangu binafsi au kiutendaji imeguswa moja kwa moja hasa idara yangu ya Sera,Ilani na Utafiti.Hapo nitafafanua

Tatu,Kwa sasa najielekeza kukisaidia chama changu kushinda Uchaguzi. Najielekeza kufafanua Ilani ya chama chetu kwa wananchi na pia kushiriki katika tafiti na kufikia maamuzi ya kimkakati ili chama chetu kipate ushindi Mkubwa.


Chama chetu kimewahi kupita katika changamoto kubwa na upinzani umetikiswa sana lakini naamini huu ndio muda wetu.Wazungu husema "This is our moment".


Nawaasa vijana wenzangu tuzingatie sana muda uliobaki kabla ya Oktoba 25,2015

Na zaidi tumuombe Mwenyezi Mungu atuvushe katika kipindi hiki chenye Changamoto kubwa ,tusiache kuombeana katika hali yoyote ile

Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane
Mara zote nionapo uchangiaji wako ktk jf ujipa fursa angalau kufuatilia.Hakika wewe kijana unayejitambu haswa na wala si kishabiki.unajiheshimu na unaheshimika.Kwa muhutadha huu nimekuelewa vyema sana.hongera mdg wangu Ben,sitochoka kufuatilia michango yako humu.
 
Naandika kuweka sawa taarifa zilizojaa upotoshaji ambazo zimekua zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na pia kwenye vyumba vya habari tangu jana usiku . Sitawajibia wengine.

Kwanza,Iliandikwa kwamba mimi Ben Saanane na baadhi ya maofisa wa CHADEMA makao Makuu na wakurugenzi wa chama cha CUF tumeandaa mkutano na waandishi wa Habari Serena Hotel siku ya Ijumaa Tarehe 04/09/2015 Saa saba Mchana

Pili ,Taarifa hiyo ikaibua mijadala JamiiForums na mitandao mingine ya kijamii ikiambatana na tuhuma kuwa tunaungana na Dr.Slaa na Prof.Lipumba na kuwa tumehongwa

Tatu,Zikaibuliwa Tuhuma kuwa sijawahi kushiriki mijadala ya kukijenga chama changu tangu Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa Mgombea Urais badala ya Dr.Slaa.

Nne,Zikaibuliwa tuhuma kuwa nipo vitani dhidi ya chama chetu na watu hao kurejea sakata la kikanuni ndani ya Chama kati ya aliyekua Naibu Katibu Mkuu Ndugu Zitto,Mjumbe wa Kamati Kuu Dr.Kitila Mkumbo dhidi ya Chama na Ushiriki wangu katika sakata lile.

Naomba nifafanue kulingana na mahitaji ya wakati kisha nitaweka akiba baadhi ya masuala.kwa maslahi ya Harakati za Mageuzi,Nchi Yangu,Chama Changu,Harakati zangu kisiasa na pia mustakabali mwema kwa wale ninaoheshimu mchango wao kwa Taifa letu.

Kwanza, Sijaandaa mkutano wowote na waandishi wa Habari na sina sababu ya kufanya hivyo hivi sasa.

Pili,Ni kweli sijaandika kwa kiwango ambacho pengine kingeridhisha baadhi ya watu .

Sikufanya hivyo kwa bahati mbaya (yaani kutokuandika) bali kwa malengo Mahsusi kitaaluma na kisiasa.

Chama Chetu na umoja wetu -UKAWA kimekua katika changamoto ya kisiasa kufuatia msimamo wa katibu Mkuu Dr.Slaa na pia msimamo wa Mwenyekiti Mwenza Prof.Lipumba.

Jitihada za kisiasa na kidiplomasia zilifanyika kwa kiwango kikubwa ili kuhakikisha hatumuachi mtu hata mmoja nyuma katika safari yetu hii ya Mwisho ya vuguvugu la mabadiliko

Katika jitihada za kidiplomasia na kisiasa,nilihusika moja kwa moja.

Sikuona mantiki yoyote kuandika kutokana na kuwa mojawapo wa kanuni za msingi kabisa katika majadiliano ya kidiplomasia ni kuhakikishwa kuwa washiriki wa meza ya mazungumzo hawaonyeshi misimamo ya kuegemea upande fulani ikiwa kweli wana lengo la dhati la kushawishi pande zote au upande mwingine ukubaliane kutokubaliana

Ni lazima kuwe na mazingira ya imani(confidence atmosphere).

Kutokuandika ndio "Confidence Atmosphere" yenyewe ambayo katika meza ya mazungumzo/majadiliano (Negotiation Table) ni silaha mahsusi kwa wanataaluma,wataalamu wa Diplomasia na wanasiasa Makini huitumia kuepusha mifarakano na kuafikiana.

Haya ni masuala ambayo nimejifunza sana kupitia taaluma yangu ya Uhusiano wa Kimataifa na diplomasia,Pia kiutendaji na malezi ya kisiasa na kiuongozi kutoka kwa baadhi ya viongozi .Hivyo kumshambulia Dr.Slaa ingekua najiweka katika nafasi ya kichocheo(Catalyst position) katika migongano.

Vilevile,Habari zimesambazwa kuwa simshambulii Dr.Slaa tangu juzi.

Ni Kweli sioni Sababu ya kumshambulia Dr.Slaa .Sifuati Mkumbo,Sifuati mihemko na wala sijawahi kujipendekeza kwa yeyote na sina mpango huo.Nafuata maadili ya kitaaluma kutoka kwa walimu wangu,uzoefu wa kiweledi kutoka katika Mashirika na taasisi mbalimbali ikiwemo malezi ya kiuongozi ndani ya chama changu


Sijawahi kufundishwa kumshambulia mtu hasa bosi wangu wa Zamani au taasisi niliyokua nikiifanyia kazi unless nitoe ufafanuzi kwa suala linalogusa moja kwa moja idara yangu au mimi binafsi.Chama au UKAWA kina wasemaji wake,wanatosha.

Kwangu yeye anaendelea kubakia kuwa Kiongozi wa mfano,Boss wa mfano ambaye Msomi yeyote angejivunia na kujisikia huru kufanya nae kazi.Hakika nitamkosa sana kiofisi

Tarehe 28 July,2012 siku ya Jumamosi nikiwa nyumbani kwake , Dr.Slaa mwenyewe aliwahi kuniambia "Dont Support Slaa,You Should Support and fight for the right Cause".Niliheshimu na naendelea kusimamia hilo hata kama kuna mahali ameteleza kama bindamu.Nitachukua yote mazuri.Mara ya Mwisho (siku chache zilizopita) nilipowasiliana nae alinisihi niheshimu maamuzi yake kama ninavyotarajia aheshimu ya kwangu.Nilifanya hivyo.

Nitaendelea kumuheshimu Dr.Slaa kama kiongozi aliyenilea kiuongozi na kuboresha weledi wangu kiutendaji kwa kuwa ana mchango mkubwa kwangu katika malezi ya kiuongozi na sitasita kumfuata na kumuomba ushauri kama nifanyavyo kwa Dr.Salim Ahmed Salim, Prof.Kitila Mkumbo,Kaka yangu Tundu Lissu na Rafiki yangu Halima Mdee hata Ndugu Zitto Kabwe ambae tulikuja kuunganishwa pamoja tena katika vita ya ESCROW na wengineo.


Sioni mantiki ya mimi kumshambulia Dr.Slaa kwa kuwa pia mamlaka zinazohusika zinaweza kujibu pale inapoonekana kuna ulazima au pale ambapo nafasi yangu binafsi au kiutendaji imeguswa moja kwa moja hasa idara yangu ya Sera,Ilani na Utafiti.Hapo nitafafanua

Tatu,Kwa sasa najielekeza kukisaidia chama changu kushinda Uchaguzi. Najielekeza kufafanua Ilani ya chama chetu kwa wananchi na pia kushiriki katika tafiti na kufikia maamuzi ya kimkakati ili chama chetu kipate ushindi Mkubwa.


Chama chetu kimewahi kupita katika changamoto kubwa na upinzani umetikiswa sana lakini naamini huu ndio muda wetu.Wazungu husema "This is our moment".


Nawaasa vijana wenzangu tuzingatie sana muda uliobaki kabla ya Oktoba 25,2015

Na zaidi tumuombe Mwenyezi Mungu atuvushe katika kipindi hiki chenye Changamoto kubwa ,tusiache kuombeana katika hali yoyote ile

Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane

Ben siku zote uwa nakuona wewe ni "M-Nazi" wa Chadema, nilijua uko tayari kufanya lolote kwa ajili ya Chadema. Leo nimeamini kuwa uko tofauti na wale wenye utashi kama wa Nyumbu, kundi hili wapo akina Yeriko na wenzake. Kutoa kauli chafu na zakudhalilisha kama alizotoa Mbowe kule Rukwa na Lisu VOA Dhidi ya Slaa na Josephine si kitu kizuri.
 
Uzi mrefu lakini Lowassa ametajwa mara moja tu tena bila kupewa uzito wowote. From Marketing point of view ambapo huwa tunategemea BRAND iwe inatajwatajwa sana kufanya kila mtu aijue na kwa kuzingatia kuwa hapa Brand Lowassa imetajwa mara moja tu tena sio kwa umuhimu, nachelea kusema kuwa kuna kitu nyuma ya pazia.
Hope katika yote uliyojifunza kwa Babu Slaa hujajifunza usaliti at the highest level. Najua utakuwa unamuonea huruma sana yule babu kwa kujiweka kwenye position ya kudhalaurika hadi anaingia kaburini.
Ushauri wa bure, Watanzania wanamtaka Lowassa, kuwa sehemu ya mabadiliko, njoo uhesabiwe huku team Lowassa tuyatoe majizi ya CCM. Babu Slaa ashajinyonga kisiasa kwa tamaa ya fedha chafu
Ben hana bei ndugu.jitafakari
 
Naandika kuweka sawa taarifa zilizojaa upotoshaji ambazo zimekua zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na pia kwenye vyumba vya habari tangu jana usiku . Sitawajibia wengine.

Kwanza,Iliandikwa kwamba mimi Ben Saanane na baadhi ya maofisa wa CHADEMA makao Makuu na wakurugenzi wa chama cha CUF tumeandaa mkutano na waandishi wa Habari Serena Hotel siku ya Ijumaa Tarehe 04/09/2015 Saa saba Mchana

Pili ,Taarifa hiyo ikaibua mijadala JamiiForums na mitandao mingine ya kijamii ikiambatana na tuhuma kuwa tunaungana na Dr.Slaa na Prof.Lipumba na kuwa tumehongwa

Tatu,Zikaibuliwa Tuhuma kuwa sijawahi kushiriki mijadala ya kukijenga chama changu tangu Lowassa alipohamia CHADEMA na kuwa Mgombea Urais badala ya Dr.Slaa.

Nne,Zikaibuliwa tuhuma kuwa nipo vitani dhidi ya chama chetu na watu hao kurejea sakata la kikanuni ndani ya Chama kati ya aliyekua Naibu Katibu Mkuu Ndugu Zitto,Mjumbe wa Kamati Kuu Dr.Kitila Mkumbo dhidi ya Chama na Ushiriki wangu katika sakata lile.

Naomba nifafanue kulingana na mahitaji ya wakati kisha nitaweka akiba baadhi ya masuala.kwa maslahi ya Harakati za Mageuzi,Nchi Yangu,Chama Changu,Harakati zangu kisiasa na pia mustakabali mwema kwa wale ninaoheshimu mchango wao kwa Taifa letu.

Kwanza, Sijaandaa mkutano wowote na waandishi wa Habari na sina sababu ya kufanya hivyo hivi sasa.

Pili,Ni kweli sijaandika kwa kiwango ambacho pengine kingeridhisha baadhi ya watu .

Sikufanya hivyo kwa bahati mbaya (yaani kutokuandika) bali kwa malengo Mahsusi kitaaluma na kisiasa.

Chama Chetu na umoja wetu -UKAWA kimekua katika changamoto ya kisiasa kufuatia msimamo wa katibu Mkuu Dr.Slaa na pia msimamo wa Mwenyekiti Mwenza Prof.Lipumba.

Jitihada za kisiasa na kidiplomasia zilifanyika kwa kiwango kikubwa ili kuhakikisha hatumuachi mtu hata mmoja nyuma katika safari yetu hii ya Mwisho ya vuguvugu la mabadiliko

Katika jitihada za kidiplomasia na kisiasa,nilihusika moja kwa moja.

Sikuona mantiki yoyote kuandika kutokana na kuwa mojawapo wa kanuni za msingi kabisa katika majadiliano ya kidiplomasia ni kuhakikishwa kuwa washiriki wa meza ya mazungumzo hawaonyeshi misimamo ya kuegemea upande fulani ikiwa kweli wana lengo la dhati la kushawishi pande zote au upande mwingine ukubaliane kutokubaliana

Ni lazima kuwe na mazingira ya imani(confidence atmosphere).

Kutokuandika ndio "Confidence Atmosphere" yenyewe ambayo katika meza ya mazungumzo/majadiliano (Negotiation Table) ni silaha mahsusi kwa wanataaluma,wataalamu wa Diplomasia na wanasiasa Makini huitumia kuepusha mifarakano na kuafikiana.

Haya ni masuala ambayo nimejifunza sana kupitia taaluma yangu ya Uhusiano wa Kimataifa na diplomasia,Pia kiutendaji na malezi ya kisiasa na kiuongozi kutoka kwa baadhi ya viongozi .Hivyo kumshambulia Dr.Slaa ingekua najiweka katika nafasi ya kichocheo(Catalyst position) katika migongano.

Vilevile,Habari zimesambazwa kuwa simshambulii Dr.Slaa tangu juzi.

Ni Kweli sioni Sababu ya kumshambulia Dr.Slaa .Sifuati Mkumbo,Sifuati mihemko na wala sijawahi kujipendekeza kwa yeyote na sina mpango huo.Nafuata maadili ya kitaaluma kutoka kwa walimu wangu,uzoefu wa kiweledi kutoka katika Mashirika na taasisi mbalimbali ikiwemo malezi ya kiuongozi ndani ya chama changu


Sijawahi kufundishwa kumshambulia mtu hasa bosi wangu wa Zamani au taasisi niliyokua nikiifanyia kazi unless nitoe ufafanuzi kwa suala linalogusa moja kwa moja idara yangu au mimi binafsi.Chama au UKAWA kina wasemaji wake,wanatosha.

Kwangu yeye anaendelea kubakia kuwa Kiongozi wa mfano,Boss wa mfano ambaye Msomi yeyote angejivunia na kujisikia huru kufanya nae kazi.Hakika nitamkosa sana kiofisi

Tarehe 28 July,2012 siku ya Jumamosi nikiwa nyumbani kwake , Dr.Slaa mwenyewe aliwahi kuniambia "Dont Support Slaa,You Should Support and fight for the right Cause".Niliheshimu na naendelea kusimamia hilo hata kama kuna mahali ameteleza kama bindamu.Nitachukua yote mazuri.Mara ya Mwisho (siku chache zilizopita) nilipowasiliana nae alinisihi niheshimu maamuzi yake kama ninavyotarajia aheshimu ya kwangu.Nilifanya hivyo.

Nitaendelea kumuheshimu Dr.Slaa kama kiongozi aliyenilea kiuongozi na kuboresha weledi wangu kiutendaji kwa kuwa ana mchango mkubwa kwangu katika malezi ya kiuongozi na sitasita kumfuata na kumuomba ushauri kama nifanyavyo kwa Dr.Salim Ahmed Salim, Prof.Kitila Mkumbo,Kaka yangu Tundu Lissu na Rafiki yangu Halima Mdee hata Ndugu Zitto Kabwe ambae tulikuja kuunganishwa pamoja tena katika vita ya ESCROW na wengineo.


Sioni mantiki ya mimi kumshambulia Dr.Slaa kwa kuwa pia mamlaka zinazohusika zinaweza kujibu pale inapoonekana kuna ulazima au pale ambapo nafasi yangu binafsi au kiutendaji imeguswa moja kwa moja hasa idara yangu ya Sera,Ilani na Utafiti.Hapo nitafafanua

Tatu,Kwa sasa najielekeza kukisaidia chama changu kushinda Uchaguzi. Najielekeza kufafanua Ilani ya chama chetu kwa wananchi na pia kushiriki katika tafiti na kufikia maamuzi ya kimkakati ili chama chetu kipate ushindi Mkubwa.


Chama chetu kimewahi kupita katika changamoto kubwa na upinzani umetikiswa sana lakini naamini huu ndio muda wetu.Wazungu husema "This is our moment".


Nawaasa vijana wenzangu tuzingatie sana muda uliobaki kabla ya Oktoba 25,2015

Na zaidi tumuombe Mwenyezi Mungu atuvushe katika kipindi hiki chenye Changamoto kubwa ,tusiache kuombeana katika hali yoyote ile

Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane

Naona unaanza kukua. Hongera sana kwa kuanza kuwa kijana shupavu wa kitanzania. Don't betray your conscience again. Naomba vijana wengine tuige mfano huu mwema.
 
Kama umeyaandika haya kwa dhati ya moyo wako, nikupongeze kwa ukomavu. Hata kama baba yako ni kikojozi kitandani, ni upuuzi kwenda kumsengenya na kumdharirisha vijiweni. This is Ben I wish to know. Hata kama Slaa kaamua alichoamua bado anabaki kuwa shujaa wa CDM
 
Mkuu Ben Saanane nimefarijika na maneno na Busara uliyoonyesha.Dr.Slaa bado anastahili heshima pamoja na kwamba ameamua kuizika heshima yenyewe. Nimeachana na Siasa ilikuwa imetosha kuwa jumuisho la mwisho na hasa Baada ya kueleza kilichojiri wakati wa Kumkaribisha Lowassa stori zingine zote haina maana yoyote.


Tarehe 28 July,2012 siku ya Jumamosi nikiwa nyumbani kwake , Dr.Slaa mwenyewe aliwahi kuniambia "Dont Support Slaa,You Should Support and fight for the right Cause".Niliheshimu na naendelea kusimamia hilo hata kama kuna mahali ameteleza kama bindamu.Nitachukua yote mazuri.Mara ya Mwisho (siku chache zilizopita) nilipowasiliana nae alinisihi niheshimu maamuzi yake kama ninavyotarajia aheshimu ya kwangu.Nilifanya hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ben Saanane nimefarijika na maneno na Busara uliyoonyesha.Dr.Slaa bado anastahili heshima pamoja na kwamba ameamua kuizika heshima yenyewe. Nimeachana na Siasa ilikuwa imetosha kuwa jumuisho la mwisho na hasa Baada ya kueleza kilichojiri wakati wa Kumkaribisha Lowassa stori zingine zote haina maana yoyote.

Umeandika maneno mazito sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
MTU ASIYEKUJUA IN PERSON anaweza kushawishika kuwa wewe ni bonge la jembe.. kumbe hali ni tofauti kabisaaaaa. kumbe sasa ndio muda sahihi wa mabadiliko?? mlituaminisha kwa nguvu zenu zooote 2010, na haikuwa hivyo. sasa mmekuja na tumaini jipya. ngoja niendelee kuwadharau kwa sababu hakuna lingine la kuwapa
 
Fanyeni yote lakini tuachieni AMANI ya inchi yetu hii nzuri.wanasiasa hakikisheni mnachunga ndimi zenu watu tuwaelewe lakini tusitengane wala kugombana! nawapenda sana watoto wangu na sipo tayali kukimbia nao mikononi mpaka nikachoka nikawatupa na wakaangamia kama tulivyona inchi jarani.Chonde Chonde
Amani ya nchi yetu? Nani kakwambia kuwa Tanzania kuna amani? Tanzania tuna utulivu na uvumilivu tu, amani ni tunda la haki, kama hakuna haki hakuna amani.
 
MTU ASIYEKUJUA IN PERSON anaweza kushawishika kuwa wewe ni bonge la jembe.. kumbe hali ni tofauti kabisaaaaa. kumbe sasa ndio muda sahihi wa mabadiliko?? mlituaminisha kwa nguvu zenu zooote 2010, na haikuwa hivyo. sasa mmekuja na tumaini jipya. ngoja niendelee kuwadharau kwa sababu hakuna lingine la kuwapa

Mkuu unapinga mabadiliko kwa nguvu dhaifu sana
 
Ukomavu wa hali ya juu,, mkuu pia muwe mnawafundisha vijana wenu kuwa wakomavu kama wewe na sio kutolea watu mitusi na kutoheshimu hisia na maamuzi ya wengine,,,
 
Mkuu Ben Saanane nimefarijika na maneno na Busara uliyoonyesha.Dr.Slaa bado anastahili heshima pamoja na kwamba ameamua kuizika heshima yenyewe. Nimeachana na Siasa ilikuwa imetosha kuwa jumuisho la mwisho na hasa Baada ya kueleza kilichojiri wakati wa Kumkaribisha Lowassa stori zingine zote haina maana yoyote.

Komredi wangu shukrani sana
 
Last edited by a moderator:
Komredi wangu shukrani sana

Ben Saanane wewe unaamini siasa ni mchezochafu au siasa ni siyansi?

Ben mbona hamjatuomba radhi watanzania kama mulitulisha maneno ya uongo kuwa Lowassa ni Fisadi hafai leo ndiye mnadadi majukwaan…? Tunawezaje kuwaamini kwasasa wakati wakati tulishaona munatuongopea?
 
Back
Top Bottom