kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,374
Habari zenu Wanajamii,
Naomba msaada wenu kwa mwenye kujua/kutambua baadhi ya vipengele katika salary slip.
Vipengele hivyo ni;
1. Total Company Contributions
2. Total Deductions
Haswa hii Total Company Contribution sijaielewa kabisa, yaani inatoka wapi/kwa nani? inaenda wapi/kwanani?
Maana mtu akiacha kazi ofisini kwetu malipo anayopewa ni yale ya PPF/NSSF tu hakuna mengine, labda kama hukwenda likizo ndio utapewa pesa ya likizo.
Naomba kuwasilisha.
Naomba msaada wenu kwa mwenye kujua/kutambua baadhi ya vipengele katika salary slip.
Vipengele hivyo ni;
1. Total Company Contributions
2. Total Deductions
Haswa hii Total Company Contribution sijaielewa kabisa, yaani inatoka wapi/kwa nani? inaenda wapi/kwanani?
Maana mtu akiacha kazi ofisini kwetu malipo anayopewa ni yale ya PPF/NSSF tu hakuna mengine, labda kama hukwenda likizo ndio utapewa pesa ya likizo.
Naomba kuwasilisha.