Siipendi hii tabia

Tatizo lilianzia hapa, ndio maana kwa njaa zake akasusa hadi msosi akaona hatashiba wakila wawili

Kwa anayejua dating hapo ndio ilikuwa wakati wa kuonyeshana mahaba mkila wawili sahani moja
Aminia mkuu..... Hivi a gentleman utoke for date au hio dinner huna ela haiwezkan kwangu ni big no...... Dem njaa Hilo kakaa aaah na nimeamini mwanamk haridhiki sio sex, chakula, unachompa haoni km kinamtosheleza
 
Dah mwamba huyo hapo sasa .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Acha roho mbaya,,,kwani Shida iko wapi??ondoka kwenu au kwako ukiwa umeshiba,,hela yake Acha aitafune
 
Sasa nyie badala ya kudate Wanaume wanaojielewa mnaenda kudate na vivulana eti kisa tu vina vijisenti vya kuwahudumia.

Mkishazinguliwa huko mnakimbia humu kualalamika.Kwa hiyo tukusaidieje?
 

Mimi huyu tulip tuliongea na akasema everything is on me. Na sio kwamba mm sikubeba hela nilikua nayo ya my budget na nyingine kwenye simu ila sio ya kumnunulia yeye
 

4.jinsi ya kutembea

Uko serious kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…