Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,229
- 18,321
Aminia mkuu..... Hivi a gentleman utoke for date au hio dinner huna ela haiwezkan kwangu ni big no...... Dem njaa Hilo kakaa aaah na nimeamini mwanamk haridhiki sio sex, chakula, unachompa haoni km kinamtoshelezaTatizo lilianzia hapa, ndio maana kwa njaa zake akasusa hadi msosi akaona hatashiba wakila wawili
Kwa anayejua dating hapo ndio ilikuwa wakati wa kuonyeshana mahaba mkila wawili sahani moja
Wanaweza wapi hawa..... Apo ni udangaji pro.....Kwanini na nyie msionyeshe ya kuwa mnaweza kujitegemea, kama mnavyosemaga wanawake tunaweza,
Huyo asje Leta huo uzii maake sintomwacha salamaHuyo ni Juha(POPOMA)
NAKAZIAHivi a gentleman utoke for date au hio dinner huna ela haiwezkan kwangu ni big no
Umesema vyema mkuuDem njaa Hilo kakaa aaah na nimeamini mwanamk haridhiki sio sex, chakula, unachompa haoni km kinamtosheleza
🤣🤣🤣Ajilipie ana jeurii.... Vocha tuu kaomba .... Apo hasira hasara
Dah mwamba huyo hapo sasa .Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Madem km hayo ndo yanatak kubebwa njian km watoto..... Huyo jamaa km alimla angekula mpk backNAKAZIA
Na mikuchaa hii wadada wanaek inanikeraa
Awe makini siku nyingine watamvua wig au aoshe vyombo
Ela ya mwanaume inauma mzeeAmekununulia msosi halafu unamkaribisha ya kinafiki na jamaa hakuvunga
jifunze kujitegemea
Niliwahi pata kasheshe ya kufa mtu. Nilikuwa bado mgeni mgeni. Profesa wangu alikuja akanikuta nimekaa sina hili wala lile akaniambia SYB let's go grab some lunch. Sasa nikafikiri kuwa kwa vile yeye ndo kaniambia basi atakwenda kulipa bila shaka.
Tumepiga msosi tumemaliza namwona huyoo amekwenda akalipa bili yake huyoo akatoka nje kunisubirisha. Na mfukoni sikuwa hata na wallet. Kikawa kimbembe!
Ndiyo nikajifunza utamaduni wao. Hata binti ukimtoa out anakuja amejiandaa kulipa nusu labda uwe muungwana umkataze. Na hii inasaidia sana mtu kutoagiza wines ghali hizi za $100+ kisa tu kaona kuna mtu anamlipia. Nilipenda sana utamaduni wao huo.
Sisi huku ukimpata mtu limbukeni ambaye hana exposure ukampeleka sehemu ya maana basi anaona leo ndiyo kapata bahati. Ataagiza vitu ghali ambavyo angekuwa yeye ndo analipa asingevigusa.
Ila kama uko vizuri na ukamhakikishia mtu kuwa aagize cho chote, siyo vizuri tena kuja kumgeuka kama jamaa yetu alivyofanya. Na mabinti wenye uzoefu atamwacha kwanza jamaa aagize na yeye atachukua hints kutoka pale. Na kama wamezoeana anaweza tu kuuliza point blank kwamba una uhakika naweza kuagiza cho chote?
Mwamba nasikia mwisho kalamba hadi sahani kazingua .baby njoo kwangu ule mema ya nchi
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.
Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.
Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza
Tutajadiliana vifungu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.
Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.
Stay tuned.