nimekudharau sana .
Mkuu hata jina lake liadhihirisha ni mtu wa kudharaulika!
nimekudharau sana .
Msimamo huu unatokana na tabia ya vionfozi wa chadema kufanya mambo yafuatayo kila kukicha;
1. Viongozi wa cdm kutukana Serikali kila kukicha
2. Viongozi kudai eti ni wakombozi wa Watanzania
3. Viongozi kuwafukuza wanacdm wasiotoka Kaskazini
4. Viongozi wa cdm kuendesha mikutano mingi sana kanda ya ziwa, Kati, Magharibi, na Dsm kana kwamba Kilimanjaro walishaendelea mno na kwamba hakuna matatizo.
5. Chadema kutofanya mikutano jimbo la Vunjo na kulalamikia kasi ndogo ya maendeleo pia hata kutukana Mbunge wa Vunjo.
6. Chadema kulazimisha Sedikali tatu na kutaka kuwachochea Wananchi waandamane kwa faida yao.
7.Cdm kutumia mamilioni ya fedha za ruzuku kwenye kampeni ambazo hazina tija.
8. Chadema kuongozwa na Mbowe asiyekuwa na Elimu yeyote ile.
9. Chadema kuendelea kupanga kwa Mbowe na kutozwa kodi kuuubwa ya pango.
10. Chadema kuwa na wsnachama, wafurukutwa, washabiki wengi wanywa viroba na bangi.
Mimi naipenda sana CCM kwa kuwaua Raia akiwemo Daud Mwangosi, Naipenda CCM kwa kuuza dhahabu zetu kwa bei chee, Naipenda CCM kwa kuwafukuza wananchi kwenye maeneo yenye madini, Naipenda CCM kwa kupiga deal ya kuidhoofisha TANESCO, Naipenda CCM kwa kupandisha bei ya umeme, Naipenda CCM kwa kupandisha gharama za maisha, Naipenda CCM kwa kuwafaulisha wanafunzi 5000 wasiojua kusoma wala kuandika, Naipenda sana CCM kwa kuwasamehe wezi wa EPA na kuwafunga wezi wa kuku maisha, Naipenda sana CCM kwa kuuza vitalu vya gesi na kuweka fedha uswis, Naipenda CCM kwa kuwashughulika madaktari wanaodai huduma za afya ziboreshwe, Naipenda CCM kwa kuwarithisha vijana wao majimbo, Nawapenda CCM kwa kusafirisha wanyama hai, Nawapenda CCM kwa kuua Tembo wanaoharibu mazingira! Nawapenda sana CCM kwa kutowajali walimu kwa unoko wao! Nawapenda sana CCM kwa kuchangisha mbio za mwenge, Nawapenda sana CCM kwa kuendelea kung'ang'ania jumuiya ya Africa mashariki japo hatufaidiki kwa lolote, nawapenda sana CCM kwa kuhakikisha PK na M7 hawanufaiki na rasilimali za Congo bali wazungu tu, Nawapenda sana CCM kwa kujadiliana na Dada Joyce namna bora ya kumuachia ziwa nyasa... I LOVE CCM with all my Heart n Soul kwa kunawirisha UJINGA, MARADHI na UMASIKINI kwa jamii ya Kitanzania...RIP JKN...
Nimekutukana kimya kimyaMsimamo huu unatokana na tabia ya vionfozi wa chadema kufanya mambo yafuatayo kila kukicha;
1. Viongozi wa cdm kutukana Serikali kila kukicha
2. Viongozi kudai eti ni wakombozi wa Watanzania
3. Viongozi kuwafukuza wanacdm wasiotoka Kaskazini
4. Viongozi wa cdm kuendesha mikutano mingi sana kanda ya ziwa, Kati, Magharibi, na Dsm kana kwamba Kilimanjaro walishaendelea mno na kwamba hakuna matatizo.
5. Chadema kutofanya mikutano jimbo la Vunjo na kulalamikia kasi ndogo ya maendeleo pia hata kutukana Mbunge wa Vunjo.
6. Chadema kulazimisha Sedikali tatu na kutaka kuwachochea Wananchi waandamane kwa faida yao.
7.Cdm kutumia mamilioni ya fedha za ruzuku kwenye kampeni ambazo hazina tija.
8. Chadema kuongozwa na Mbowe asiyekuwa na Elimu yeyote ile.
9. Chadema kuendelea kupanga kwa Mbowe na kutozwa kodi kuuubwa ya pango.
10. Chadema kuwa na wsnachama, wafurukutwa, washabiki wengi wanywa viroba na bangi.
Chama cha kidini na ukabila cdm
Ivi ni Chadema ndio iliyofanya hayo ama viongozi wa Chadema?
Msimamo huu unatokana na tabia ya vionfozi wa chadema kufanya mambo yafuatayo kila kukicha;
1. Viongozi wa cdm kutukana Serikali kila kukicha
2. Viongozi kudai eti ni wakombozi wa Watanzania
3. Viongozi kuwafukuza wanacdm wasiotoka Kaskazini
4. Viongozi wa cdm kuendesha mikutano mingi sana kanda ya ziwa, Kati, Magharibi, na Dsm kana kwamba Kilimanjaro walishaendelea mno na kwamba hakuna matatizo.
5. Chadema kutofanya mikutano jimbo la Vunjo na kulalamikia kasi ndogo ya maendeleo pia hata kutukana Mbunge wa Vunjo.
6. Chadema kulazimisha Sedikali tatu na kutaka kuwachochea Wananchi waandamane kwa faida yao.
7.Cdm kutumia mamilioni ya fedha za ruzuku kwenye kampeni ambazo hazina tija.
8. Chadema kuongozwa na Mbowe asiyekuwa na Elimu yeyote ile.
9. Chadema kuendelea kupanga kwa Mbowe na kutozwa kodi kuuubwa ya pango.
10. Chadema kuwa na wsnachama, wafurukutwa, washabiki wengi wanywa viroba na bangi.
Mkuu PetroE.Mselewa, nini maoni yako juu ya majibu ya mkereketwa mwenzio wa chadema hapo juu.
Kwanini msiwafundishe vijana kama huyo kutoa majibu ya kiungwana kama yako?
Ukisikia mke wako anamsema mwanaume yeyote kuwa hampendi,hapo jua kwamba mkeo anampenda huyo jamaa kupita kiasi ila anasema hivyo ili kukutoa kwenye wazo la kumstukia.Hata wewe mleta maada inaonekana huipendi chadema mchana lakini usiku huwa una mahaba ya dhati kwa cdm.Wewe ni miongoni mwa watu wanaoipenda chadema kupita kiasi.
well said mkuu...Hakuna SUMU mbaya kama kuwakaririsha watu wabaguane kwa sababu ya dini zao.Nikiwa mchagga na Mkristu nikawa mwanachama wa CCM sina tatizo ila nikiwaupinzani basi ni shida maana majina yote mabaya nitapewa.Hebu acheni hayo,waacheni watanzania waamue kwa ridhaa yao kula nyama,maharage au samaki.
Msitubague kwa misingi ya dini wala itikadi za siasa sote tunahaki ya kuishi Tanzania na KATIBA yetu ya nchi haibagui watu kulingana na imani yao ya dini,vyama vya siasa au kabila.Hakuna mahali panapeleza kwamba ukiwa MTANZANIA basi lazima uwe CCM hata enzi za Nyerere hakuna mtu aliyelazimishwa kupenda CCM bali mahitaji ya kibinadamu ndiyo yoliyotufanya tuwe wanachama wa CCM ,mahitaji kama vile kuajiriwa,kwenda vyuoni nk.Tusirudi huko jamani kumepitwa na wakati.
chadema ni kama zinaa, tukae nayo mbali
Msimamo huu unatokana na tabia ya vionfozi wa chadema kufanya mambo yafuatayo kila kukicha;
1. Viongozi wa cdm kutukana Serikali kila kukicha
2. Viongozi kudai eti ni wakombozi wa Watanzania
3. Viongozi kuwafukuza wanacdm wasiotoka Kaskazini
4. Viongozi wa cdm kuendesha mikutano mingi sana kanda ya ziwa, Kati, Magharibi, na Dsm kana kwamba Kilimanjaro walishaendelea mno na kwamba hakuna matatizo.
5. Chadema kutofanya mikutano jimbo la Vunjo na kulalamikia kasi ndogo ya maendeleo pia hata kutukana Mbunge wa Vunjo.
6. Chadema kulazimisha Sedikali tatu na kutaka kuwachochea Wananchi waandamane kwa faida yao.
7.Cdm kutumia mamilioni ya fedha za ruzuku kwenye kampeni ambazo hazina tija.
8. Chadema kuongozwa na Mbowe asiyekuwa na Elimu yeyote ile.
9. Chadema kuendelea kupanga kwa Mbowe na kutozwa kodi kuuubwa ya pango.
10. Chadema kuwa na wsnachama, wafurukutwa, washabiki wengi wanywa viroba na bangi.
Ni sawa na kuchukia baba na mama!
Nadhani ni viongozi wenyewe wa CCM ndiyo walifanya baadhi ya watanzania waatukane viongozi wao na serikali yao.
Then unapaswa kuchukia viongozi na si chama...