Je, wenge walidhani chama kimejijenga mijini tu, na hapa sasa ina maana gani? Je, ni 'pigo' la mwisho????View attachment 54369
Dr. wa ukweli alishatuahidi tukiichagua Chadema basi tutaondokana na kuishi kwenye nyumba za Tembe!
wanaobeza wanadai kuwa Watanzania ni wajinga na wanaogopa machafuko na wamaamua kutumia hiyo kama mtaji lakini wanasahau kuwa ujinga sio ulemavu, wakati wowote watapata uelewa na watakuwa hawakubali kanga na skafu pamoja na pilau zao! Na kwa taarifa yako wakati ni huuinatia sana moyo , nadhani 2015 mambo yatajipa, CDM ndo tumaini la watanzania
ni theory ngumu kuikubali lakini watu wengi wanaozuia mabadiliko wanajua wanachokiogopa, ni madambi yao na wanzaogopa yataibuliwa kama CAG alivyoibua ambayo inakadiliwa kutofika hata 1% (less than '<') ya uozo uliopo.Dr. wa ukweli alishatuahidi tukiichagua Chadema basi tutaondokana na kuishi kwenye nyumba za Tembe!