Sigara ni noumaaaaa!

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
571
156
Jamaa aliota yuko peponi akataka kuvuta sigara lakini akakosa moto wa kuwashia sigara yake, akatoka kwenda motoni. Alipofika kwenye mlango wa motoni aliwakuta walinzi na kuwaomba kuingia ili akawashe sigara mara moja halafu atatoka. Walinzi wakamruhusu kuingia.
Alipomaliza akawa anatoka kumbe walinzi wamebadili shift, wakamwambia itabidi urudi ndani mpaka wale waliokuruhusu kuingia waje kwenye shift yao miaka sabini ijayo!!
Jamaa alistuka usingizini na kuacha sigara kabisaaaaa !!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom