Mambo vipi wana MMU
Niende moja kwa moja kwenye mada,binafsi nimefunga ndoa ya kikristo na enzi kabla sijaoa sikuwahi kuwa Playboy kivile so nika date na huyu bidada ambaye tabia zake zinaridhisha nkaamua nifunge naye ndoa,ila tangu zaman uchi(K) yake haikua inanivutia sana kwa maana ya size kubwa na mimaji Maji sana japo anajituma sana kitandani,kutokana na tabia zake nyingi nzuri nkaamua nifunge naye ndoa hilo la K ntalivumilia
Sasa kusema ukwel si enjoy sex kabisa kuna muda najilazimisha tu ,saivi ni miaka 4 tangu tumefunga ndoa na tuna mtoto mmoja,na kuna kipind nliwahi kucheat (sikupenda) lakin nlijilaum sana maana nlikutana na mdada K inabana vizur hadi raha
Sasa naombeni ushaur kumwacha siwez kutokana tushaweka base ya maisha na hajanipa maudhi makubwa kuongeza Mke Wa pili siwez dini hairuhusu,lakin honestly yaan nasex naye ilimradi tu si enjoy kabisa