Sifurahii Kusex na Mke wangu

Sifurahii Kusex na Mke wangu

Anonymous

Senior Member
Joined
Apr 6, 2006
Posts
129
Reaction score
358
Mambo vipi wana MMU

Niende moja kwa moja kwenye mada, binafsi nimefunga ndoa ya kikristo na enzi kabla sijaoa sikuwahi kuwa Playboy kivile so nika date na huyu bidada ambaye tabia zake zinaridhisha nikaamua nifunge naye ndoa, ila tangu zaman uchi(K) yake haikua inanivutia sana kwa maana ya size kubwa na mimaji Maji sana japo anajituma sana kitandani, kutokana na tabia zake nyingi nzuri nikaamua nifunge naye ndoa hilo la K nitalivumilia

Sasa kusema ukwel si enjoy sex kabisa kuna muda najilazimisha tu, saivi ni miaka 4 tangu tumefunga ndoa na tuna mtoto mmoja na kuna kipind nliwahi kucheat (sikupenda) lakin nlijilaum sana maana nlikutana na mdada K inabana vizur hadi raha

Sasa naombeni ushauri kumwacha siwez kutokana tushaweka base ya maisha na hajanipa maudhi makubwa kuongeza Mke Wa pili siwezi dini hairuhusu, lakini honestly yaan nasex naye ilimradi tu si enjoy kabisa
 
Pole sana mkuu. Hukuwa makini katika kuangalia vigezo vya kuchagua mke. Katika vigezo mbalimbali Sex ni muhimu katka maisha ya wanandoa.

Cha kufanya mfundishe jinsi ya kufanya zoezi la kubana Uke kegel.. Pia waone wataalamu wanaoweza kumpa dawa ya kukausha maji
 
Mnafurahishaga nyie wanaume mnajifanya Wacha mungu for everything kasoro kuchepuka.

Your logic:
Wake wawili ⛔
Divorce ⛔
Kuchepuka ✔️✔️✔️

Ingekuwa uliuziwa mbuzi kwenye gunia ningekuelewa lakini Haya yote uliyajua Kabla ya kumuoa kwahiyo huwezi kumlaumu.

Jikaze sasa na usianze kumfanyia fujo muachane sababu umeonja vya nje ...
 
Kama hukuwahi kusex na mwanamke mwingine umejuaje kama k zingne hazna maji? Na kama hazina una uhakika au uthibitisho gani kwamba huenda utaenjoy zaid ya hiyo k yenye maji?

Na je K ya mkeo ni kubwa ukilinganisha na ya nani? Acha kutafata sababu za kucheat, inaumiza na utajua kuwa inaumiza mkeo akiamua kuanza kukucheat,baki njia kuu mjomba
 
Ulishakubali ,ridhika,mheshimu,mpende ,heshimu mkataba ulioingia nae,usimwonyeshe udhaifu wako,tafuta style zipo nyingi ,shida huko ulikoona tofauti (mchepuko) na wewe pia kukubali upande wa pili zaidi,ungekutana na kubwa zaidi ungesemaje?
 
Mnafurahishaga nyie wanaume mnajifanya Wacha mungu for everything kasoro kuchepuka.

Your logic:
Wake wawili [emoji732]
Divorce [emoji732]
Kuchepuka [emoji3581][emoji3581][emoji3581]

Ingekuwa uliuziwa mbuzi kwenye gunia ningekuelewa lakini Haya yote uliyajua Kabla ya kumuoa kwahiyo huwezi kumlaumu.

Jikaze sasa na usianze kumfanyia fujo muachane sababu umeonja vya nje ...
Hakuyajua kwasababu Sample alizokuwa nazo zilikuwa chache
 
Mkuu kuna sex styles/positions za kudeal na wanawake wa namna ya mkeo...infact kila aina ya k ina namna ya kudeal nayo

Epuka style yoyote ambayo huwa inapelekea deep penetration mathalani kifo cha mende...
 
Back
Top Bottom