1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
yaani ulijuaje? basi mwenzenu hizo ndio sifa nilizonazo na wanaume nilionao hawaoni wala hawasikii kwa raha wanazozipata kwangu tene hakuna alietamani kuniacha ila kila leo naona wanaongezeka tu kunifukuzia juu ya umri wangu kuwa mkubwa yaani ckujua kuwa wengi wanajua sifa hizo looh! mi niko na kijana wangu wa 25 years for years now hana mpango wa kubanduka ubavuni kwangu!