Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa za wanawake/wadada wanene

Cacico, kumbe siko peke yangu.
Lakini wakati mwingine inategemea na kiasi cha unene. Obese women karibu wote ni wachovu, ila wale 'thick' wengi wanakuwa poa na watamu sana! Thick wanaweza kujituma hata kwenye 6x6. Wakati mwingine supu bila minofu hainogi.
worrrrrrrrddddd! tena hujituma kiukweli c utani lol!
 
1.wepesi wa kusamehe..2.wanapenda ku please3.wanatulia kwa mwanaume mmoja4.wakipenda wanapenda kweli..5.wepesi wa kuomba msamaha6.sio wabishi7.wanajua kudeka na kudekeza8.watiifu.9.hawaringi sana.10.wanasahau haraka..... kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamkechagua mwanamke mnene......
Kila mtu anavutia kule alikopagawishwa!!!!!!!!!!!!!!!! Inaonyesha unamiliki Mamaa Africa type!
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

gud for u not every man like fat women.
 
Fat women who are so super-conscious of their weight, that it becomes an elephant in the room.It's like (true story) a girl you think is gorgeous who scolds you like a child when you, in error, touch the jiggly-jiggly back part of her arm.
"Don't touch me there – I hate when people touch me there."
Yikes! The awkwardness and fright will be remembered long after the jiggly
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

inaukweli ndani yake japo siyo 100%
 
wanene wanakisirani sana.., wanadhani cku zote mume wake anatoka nje ya ndoa kufuata wembamba......
chelewa kurudi home uone sasa.... hufunguliwi mlango...

chezeya mibonge wew......
 
mi navyojua mizembe hawajui kukatika.....wavivu wakitembea meta 100 wapo hoiii.....
 
ur not my man Ngalikihinja usinianzishie zogo humu jf maana toka utume hii post hizo private msg ninazopata mmh!
Waambie hao hao walioku-PM, mi na wewe tunaujuwa ukweli.......... teheeee.teheeeeeee
 
No research No ryt 2 talk!Presenter nakbaliana nawe kwa % kubwa ukwel ndo huo tho not ol!I hev obsevd t
 
Waambie hao hao walioku-PM, mi na wewe tunaujuwa ukweli.......... teheeee.teheeeeeee

heheeeee halooooo! sawa ngalikihinja ila kuna watu umewarusha roho humu mpka raha sijuhi wanafikiri niko serious kwako? nawaambia MTALOWAAA!!!
by the way cku njema
 
The Boss upo kwenye research au?nakumbuka nilishawahi kuanzisha topic ya wanaume wanapenda wanawake size ipi? kuna waliotoka mapovu lakini mwisho wake nilipata majibu
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

every general rule has its exceptions......
 
Back
Top Bottom