Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa za wanawake/wadada wanene

1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

Wakifanikiwa kupunguza uzito na kuwa si Wanene bado wanakuwa hivyo hivyo?

Na wale Vimodo wakishakuwa wanene, je wanakuwa na tabia kama za wanene?
 
Maisha yote nimedate wanawake wanene, I can confidently say, this is WRONG, nishawahi kuwa na mmoja ambaye ni opposite na kila point hapo.


sasa kama this is wrong
why you keep dating them?
 
Wakuu vipi kwa wanawake wembamba?maana huyu wangu anasumbua kweli...
 
mmmh hakunaga hyo...mim ni kimodal ila mpoleeee ka maj ya mtungn
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

Huu wote ni uwongo, hizi tabia zote zinatokea kwenye Ubongo wa Mtu, hazina mahusiano yoyote ya ukubwa wa mwili au wingi wa mafuta/nyama mwilini.
 
Back
Top Bottom