Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa za wanawake/wadada wanene

1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

Is it what you think dude? its a joke anyway!
 
1. Wanakula san
2.wazto kubebeka..kg 100
3.hawajui kucheza kwa bd
4.wanajua ngumi..watemi
5.wanajpodoa sana
 
we we we! ulikutana na waliokula pono! acha kabisa, ................,, lol!

Wanawake wanene wavivu sana kitandani, mara nyingi hupiga mayowe pasipo kujituma. Hovyo sana!

Cacico, kumbe siko peke yangu.
Lakini wakati mwingine inategemea na kiasi cha unene. Obese women karibu wote ni wachovu, ila wale 'thick' wengi wanakuwa poa na watamu sana! Thick wanaweza kujituma hata kwenye 6x6. Wakati mwingine supu bila minofu hainogi.
 
i was customised kwa ajili yake.

Wala hainistui hata nikiwakuta kakuangukia mkiwa na suti za asili, najua atakuwa alikuwa anakutoa mdudu somewhere.

Nimemstukia The Boss, uzi huu lengo lake ni kujua maumbile ya wadada wa JF; he is very smart you know!

Simpi hiyo satisfication. LOL

Ila weye nakutumia picha yangu kwa PM nikiwa na swimming suit, ukimuonesha utaula! LOL
 
Last edited by a moderator:
ni kweli bwana nimeipenda hi imekaa vizuri.halafu kinyume chake ka asili huwa wan wivu na ghubu cjui kwa nini
 
ninacho kiamini mimi mtu mnene huwa hajiami kabisaa na kama unataka kuwa na uhusiano utakao kuweka roho juu kuwa na mnene haijalishi ni mke au mme...!!!!!!!!!!
 
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....

kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......

Wanene wapi unaozungumzia?
Kwamfano kuna mtu kama wema sepetu alikuwa mwembamba sasa anaelekea kuwa mnene je nae anasifa tajwa hapo juu?

Vigezo ulivotaja havina uhusiano wa moja kwa moja na akili,mana ndiyo inayohusika na mambo ya feelings!
 
Back
Top Bottom