sir ide
Senior Member
- Apr 10, 2020
- 115
- 169
kunoge kwi degendaaaa,
kunoge kwi degendaaaa,
Siyo miguu kama reli ya Tazara6,wana miguu kama penseli
Imeshawahi kukutokea mkuu? Kwann ukagande kwa Kaka? Tafuta Mali zako ulitaka ukakae mwaka mzima? For what?
Kuna vitu vingine Ni too much,haiwezekan uje kwangu ukae miez miwili for nothingHapana mimi nashukuru nimekulia kwa wazazi wangu maisha yangu yote.
Ukweli ni kwamba watu wengi kwenye hii jamii yetu bado tunapaswa kusaidiana.
Ukiangalia hata hao wanaume wengi leo hii ukifatilia historia walikotoka utakuta walipitia mahali kwenye mikono ya ndugu,
Je hao ndugu wasingewasaidia na kuwatetegemeza wangefika walipofika kirahisi?
Kuwachukia ndugu wa mume ni mbaya sana na Ndiyo maana wengine ndugu wengine wa mume wakimuona mke ni mchoyo na mnoko huanza kumkuwadia ndugu yao ili kumkomoa yule mke
Tuwapende ndugu wote!
Hizo ni story za vijiweni tuukiwa tajr watakushangaza
Hhmm.....mkuu hii update ya lini ?Anaesema wachaga nimagogo wamejiongeza ckuizi mzalamo mwenyewe anasubili
Kuna vitu vingine Ni too much,haiwezekan uje kwangu ukae miez miwili for nothing
Haaaa yote Tisa awapo romanticWachaga njooni, kuna ujumbe wenu huku
7. Wana sura nzurii.
8. Rangi ya dhahabu(white)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela dah acha uongooSIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌
Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
Kuna ndugu wengine wakija hivyo hata vile vikaz vidogo vidogo hawajitolei kukusaidia sasa hiyo pia inachangiaNakuelewa vizuri lakini ikiwapo sababu ya kufanya hivyo mfano mtu anasoma short course n.k kuna kubaya gani?
Halafu ukiwapo upendo mambo mengi huwa na wepesi sababu huyo mtu akiwapo nyumbani kwako atawasaidia na kazi nyingine za nyumbani lakini ikiwapo chuki hata yale mazuri na mchango wa ndugu wa mume Katika familia unakuwa hauonekani wala kuthaminiwa!
Upendo hisitiri wingi wa makosa!
Umejiandaa kufua nguo eeh hivo povu lake si kitoto mkuu, huwezi kutofautisha mgongo na nini😀😀 sasa utofautishe ili iweje ita vyote tu jina moja "mgongo" inatosha🏃♀️🏃♀️Wanawake wa kichaga kwa kutafuta hela ntawapa % 98,tatizo lenu kubwa hampo romantic kabisa alafu chura hamna kabisa, mwanamke huwezi kutofautisha matako na mgongo hataree,, povu ruksa..
Sent using Jamii Forums mobile app
whysijui nina nini na wanawake wa marangu.
Nimekuwa nikidate nao mara zote, Kila napogusa nikiuliza ni wa huko tu.
ndo Mungu alivyokupangiaNimekuwa nikidate nao mara zote, Kila napogusa nikiuliza ni wa huko tu.
Ni kweli.ndo Mungu alivyokupangia
Kiswahili hiki, ni kweli hawapendi ela ila wanapenda helaSIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌
Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁