Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,885
Muwe mnasema na Ile ya kuua mme familia ikishatajirika
Wajinga mna vitukoUkweli ndo huo! endelea kuminyana
SijakuelewaUsipende kuandika ili uonekane tu na wewe umeandika mkuu.
SIFA ZA WANAWAKE WA KICHAGA
1. Wakarimu
2. Waaminifu
3 . Wavumilivu
4. Wachapakazi
5. Hawapendi ela wanapenda maendeleo😌
Nani anabisha ? 😁ajifanye kama anajikuna😁😁😁😁😁
Wimbo wa kila kitu watoka soon
1. Kibamia kwenye kila kitu
2. Mashine kwenye kila kitu
3. Tango kwenye kila kitu
4. Mitandao ya kijamii kweli kila kitu
5. Dharau kwenye kila kitu
6. Kicheko kwenye kila kitu
7. Kila kitu kwenye Kila koru
8. Upendo kwenye kila kitu
9. Kubembelezwa kwenye kila kitu
10. Uongozi kwenye kila kitu
11. I will marry you kwenye kila kitu
12. Zilipendwa kwenye kila kitu
13. Wanene kwenye Kila kitu
14. Vichekesho kwenye kila kitu
15. Wembamba kwenye kila kitu
16. Wenye gari kwenye kila kitu
17. Wasomi kwenye kila kitu
18. Kazi za ofisini kwenye kila kitu
19. Ndivyo ilivyo kwenye kila kitu
20. Kila kitu
21. Mwili kwenye kila kitu
22. Mhindi kwenye kila kitu
23. Mchina kwenye kila kitu
24. Sex kwenye kila kitu
25. Puli kwenye kila kitu
26. Basha kwenye kila kitu
27. Hakika kila kitu ni kwenye kila kitu
38. Ini kwenye kila kitu
39. Ndoto kwenye kila kitu
40.Huna maana kwenye kila kitu
N.k
Wametamka wenyewe
Mimi mwenyewe sijielewiSijakuelewa
Miguu ya bia ipoje ?Wanawake wa kichaga wengi wana ngozi ya MTUME ila hawana INYE na Miguu ya BIA.
Imeshawahi kukutokea mkuu? Kwann ukagande kwa Kaka? Tafuta Mali zako ulitaka ukakae mwaka mzima? For what?Eti wengine wanajidai wakisasa zaidi siku hizi Wakija wageni ndugu wa mume wanaenda kutafutiwa loji nyumba ya wageni ya karibu kwenda kulala huko wakati nyumba ipo na nafasi na vyumba vya kutosha
Kisha baada ya siku 2 -3 wanaenda Katiwa tickets waondoke bila ridhaa yao!
Tabia ya choyo mbaya sana!