Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
ukikua utaacha upuuzisawa kijana naona akili yako inawaza kuajiriwa tu..
Mawazo ya kimasikini hayo.
ukikua utaacha upuuzisawa kijana naona akili yako inawaza kuajiriwa tu..
Mawazo ya kimasikini hayo.
ukikua utaacha upuuzi
Makini na washamba-SUA.
Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.
Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.
Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.
Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.
Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.
Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.
Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.
Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,
Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.
Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.
Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.
Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!
Je we uko wapi/umepita wapi?
(UTOTO + SIFA ZA KJINGA) ILA UKIKUWA UTAACHA.....................forum name has been considered
Te te teeeeeeeeeeeee. Kweli umejitafutia kutukanwa. Any wey nimecheka. Japo chuo changu hakipo hapo!!!
sasa sifa ziko wapi hapo?
Sawa mzee wa SECUCO
sasa sifa ziko wapi hapo?
Sawa mzee wa SECUCO
Wanaouza K* na kuvuta bangi pale mabibo hostel ndo jamii yako inawakubali?? Jipange kijana
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu mapovu ya nini? Au umesahau ni jukwaa la utani?
We lazima utakuwa kwenye kundi la waliokosa vyuo kabisa
vilaza utawajua tu, hujajiuliza kwanini nimeiweka hapa na siyo jukwaa la elimu?
aaaaaah aaaah mkuu kwani waliofeli form six huwa wanaenda wapi vile?
umenena mkuu maana wengine wanahisi kusoma chuo chenye jina basi na wao wataonekana wana akili sana kumbe wengine ni vilaza wa kutosha na kila semester wana supWe dogo wewe ukikuwa utajuwa chuo ni jina tu, cha muhimu angalia ulichofundishwa umekielewa, unakifanyia kazi na kinakusaidia kama inavyotakiwa? Unaweza ukasoma kwenye hivyo vyuo vyako unavyovisifia hivyo.............ukachapa chache na kazini ukawa kilaza vile vile........hivi wewe unafikiri wale mainjinia/ wahandisi waliojenga magorofa yakaporomokea watu mjini humu unafikiri walisoma vyuo gani wale?......ila sishangai kwenye msafara wa mamba hata kenge mmo vilevile.............................forum name has been considered
Utani mwingine bwana, napita tu.....
umenena mkuu maana wengine wanahisi kusoma chuo chenye jina basi na wao wataonekana wana akili sana kumbe wengine ni vilaza wa kutosha na kila semester wana sup
mkuu naona imekugusa hii,
pole sana naona umesahau uko jukwaa gani?