Sifa za vyuo mbalimbali bongo

Sifa za vyuo mbalimbali bongo

Hahaaaa ila kuna ka ukweli kiasi mkuu hongera kwa utafiti wako.
 
Chuo dhahabu kilichofichika ni MWECAU: Nidhamu na maadili ni no.1! Taaluma mbele! Vimini marufuku! Wenye maadili mabaya hawakipendi! Wanaopenda maadili na taaluma nzuri watakifurahia! Hutojuta kukijua mwecau!
 
Tatizo langu walimu wa vyuo vingi hawana sifa hata kidogo. Hata kama GPA ni kubwa ni nani baliyemfundisha? Huyo aliyemfundisha alisoma wapi? Vyuo wanaiba mitihani , mitihani substandard, etc. Bottomline vyuo vingi ni takataka
Siyo kweli! Una kasumba ya enzi ya chuo kimoja!
 
Siyo kweli! Una kasumba ya enzi ya chuo kimoja!
Nimewafanyisa wengi employment interview it is pathetic.... unajiuliza huyu chuo gani kasoma? Kuna lecturers kweli ? Hovyo hovyo kabisa! Sasa ukute ameanzia shule za kata akamalizia UDOM....mh!
 
Wabongo mnapenda sana copy & paste.

Tena taarifa zilizo za ajabu ajabu.
 
Vyuo vingi hapa nchini vina sifa ya No. 18 ya CBE yani utasajiliwa hata Kama huna sifa except UDSM , SUA, MU, na Muhas! Heshima kwako UDSM Chuo chenye hadhi ya kimataifa yani Kama ni msimamo wa Ligi wakati UDSM ikiwa daraja la kwanza vyuo vingine vinavyofuata Labda vitakuwa daraja la kumi ! Karibu kuangalia hata idadi ya Professors and PhDs zilizopo na siyo za ubabaishaji ! Ukweli usemwe tu jamani!
 
Chuo Cha Maji je?WDMI now days WATER INSTITUTE Majilani wa COET hawa VIP?
 
Kuna Watu Humu Ukitaja Udsm Wana - Tremble Nahisi Wana "Schizophrenia"....!
By The Way It's Obviously Recognised That Ud Nationwise Ni #1. Then Others Vinafuata Nyuma Ya Baba Lao. Ni Propotional to Havard In USA.
[HASHTAG]#Get[/HASHTAG] Angry Or Get Inspired.
 
Iringa University wanajifanya wanamjua sana Mungu lakn ni wapgaji wakubwa wa pesa.
 
Zeeero !!!
hizo poyoyo tu na mbwembwe za uanachuo but mkiingia mtaani mwisho wa siku wote ni wasomi wanaoaminiwa na wanaotumiwa na serikali,makampuni binafsi ,internationally na pia wanajiajiri vizuri tu
 
Back
Top Bottom