Watu wa transport muhim ktk kuinuaa uchumi wa nchii, lifaham ilo naamin uta ulza tnaaHapana muhimu wapii?? Fafanua
NIT watu muhim xnaa iyo ni kwel kbisaa ata c uongo
What do meanNdo mnadanganywa hivyo wakati wa kufanya application??
Mungu awajalie mwende mkajionee uhalisia
Sema kwa mimi ninaetaka kupungua zitanisaidiaMpaka likizo iishe, tutakua tusha konda kwa thread kama hizi.
Ka udsm n vipanga muhas wasemejeUdsm Sio Wanajifanya Wao Ni Bora Kuliko Wote. Ni Kweli Wao Ni Vipanga Tena Cream Ya Taifa.
Kuna watu wana DDE wapo UD eti VipangaKa udsm n vipanga muhas wasemeje