Sifa za TARIME ni zipi?

Sifa za TARIME ni zipi?

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,671
Reaction score
940
Msaada kwa aliyekuepo huko maana naenda kusoma huko pia kuna machangu? Tafadhali sana!
 
Msaada kwa aliyekuepo huko maana naenda kusoma huko pia kuna machangu? Tafadhali sana!

Tarime ni kubwa na kila eneo lina tabia tofauti na lingine. Fafanua unakuja kusoma shule gani - Tarime Sec,Magoto, Inchugu, Mwema, Nkende, Mogabiri, Nyamongo, Nyansincha, Masanga, Nyabigena, Nyamwaga, Muriba. Kumbuka kuwa hizi shule haziko karibu, ni mwendo wa kutembea siku nzima kwa kutumia Michomoko.
 
Unaenda kusoma au kufuata machangu?
 
Tarime ni kubwa na kila eneo lina tabia tofauti na lingine. Fafanua unakuja kusoma shule gani - Tarime Sec,Magoto, Inchugu, Mwema, Nkende, Mogabiri, Nyamongo, Nyansincha, Masanga, Nyabigena, Nyamwaga, Muriba. Kumbuka kuwa hizi shule haziko karibu, ni mwendo wa kutembea siku nzima kwa kutumia Michomoko.

tarime sec
 
tarime sec

Ahaa, Tarime Sec. Karibu sana, shule yangu hiyo. Nilikuja shule kama wewe, nikapata ajira huku huku. Ukifika ni-pm nikuonyeshe mazingira. Ni shule nzuri iko mjini, utakula matunda ya kila aina, iko karibu na Chuo Cha Ualimu Tarime, week'nd utakuwa unaenda kuosha macho Sirari/Isebania, unaweza kwenda hata Migori, Kenya. Tabia za watu wa huku ni wapole kabla hujawachokoza, ukiwachokoza lazima damu ikutoke, mara nyingi wanakuwa na mapanga yaliyonolewa pande zote, unaweza kumwona mtu amevaa koti zuri tu kumbe ndani ana panga/sime/kisu. Mtu wa huku akichomoa kisu/panga/sime hawezi kuirudisha bila kujeruhi, akisema anakupiga ujue tayari ameishakupiga, na hasa wewe ambaye unaulizia machangu, utatakiwa kuepukanana na wake za watu. Huku machangu wapo hasa wanaotoka mgodini (Nyamongo), wako juu kwa sababu ya madini, ni hatari kudeal nao maana kuna watu wanaweza kuwa wamewekeza hapo, sasa wewe Mwanafunzi utaweza wapi na pesa ya kupewa na Mzazi.
 
uploadfromtaptalk1375875198410.jpg


Mfano wa Chacha Mura huyu hapa,,,usione anacheka na suit yake ndani ana visu muda wowote unakuwa butcher.
 
tarime sec ipo mjini kama km 5m kutoka mjini,ipo sehemu nzuri na madhari ya kuvutia pamoja na khali nzuri ya hewa.
ni moja ya wilaya tajiri nchini,kilimo cha mazao(ndizi,mahindi,kahawa,mihogo),ufugaji,kuna mgodi wa dhahabu wa nyamogo,pia mpaka wa tanzania na kenya pale sirari 20km toka tarime town kwa ushughuli za kibiashara.pia sehemu kidogo ya mbuga ya wanyama ya serengeti inapatika katika wilaya ya tarime
kwa hivi sasa tarime imepewa hadhi ya kuwa na halmashauri ya mji wa tarime.

watu wa tarime ni wapole sana na wakweli na wapenda haki ila usithubuthu kuchokoza mtu,yatakukuta makubwa.
kuhusu machangu wapo hasa wale wanaosaka wateja toka mgodini,na wengi wao wanatoka mwanza,dar,musoma na maeneo ya jirani,wote ni mademu wakari baraa na wanavaa kiheshima.
sidhani kama utaweza kuwapata kwani wengi wao wanatoza hela defu kwa we mwanafunzi kuimudu.
 
Dogo nenda kapige shule kijana, jamaa ni wapore sana pia ni wakarimu sana kikubwa hakikisha uwakorofishi maana adhabu zao huwa ni kubwa mno ila hawezi kukufanyia kitu mbaya kama hujaingia anga zake. Epuka watoto wa kike dogo maana jamaa ni heri umchukue mke wake kuliko kumchukua binti yake labda kama ni mtoto mwenzake. All in all si wabaya sana watu wa huko kama utaishi vizuri nao
 
Last edited by a moderator:
Msaada kwa aliyekuepo huko maana naenda kusoma huko pia kuna machangu? Tafadhali sana!

Jiandae kukutana na hii jamaa pia:
Ustembee na mke wa mtu,
ustembee na mtoto wa mtu!
La sivyo utarudi kwenyu katika box
Chui.jpg
 
Bishanga, HorsePower, Heaven on earth, grafani11, Blaine; gfsonwin hebu angalieni kizazi cha Mulugo hiki halafu mniambie kama kuna aliyebaki salama na mniambie kama atakuja na flying colour au atalate nini huko anakoenda

Inawezekana ana joke, lakini huenda ndiyo mtazamo wa baadhi ya vijana wa secondary za sasa. Taifa letu lijalo lina kazi sana kwenye mahusiano. Nafikiria kipuuzi, kwa kijana anayeanza mahusiano yake kwa machangu akiwa secondary, huyu hata kwa bahati nzuri akinusurika na magonjwa haya akija kuoa, atakuwa na mapenzi kwa mkewe? Anaweza kuja kutulia kweli? Suala la kumjali mke na kuthamini utu na heshima ya mwenzake litakuwepo kweli? Halafu huyu ndo anakuja kuwa mkwe wangu kwa binti yangu Mr Rocky! Inasikitisha!
 
Akikisha mwilini mwako angalau una mabaka mabaka ya majeraha. Kama upo softi sana jamaa wa kule watakutenga. Watakuwa wanakuona wewe siyo dume ni kademu.
 
Back
Top Bottom