nitakomaa nao si unajua kazi na dawa
Ni kweli yote hayo niliyokueleza yapo huku, lakini lengo langu lilikuwa ni kupima dhamira yako kama kama kweli umedhamiria katika kusaka machangu, sasa nikuambie kitu, kutokana na kuwepo na madini katika eneo hili, hali ya maambukizi ya UKIMWI iko juu sana ingawa kutokana na hali ya hewa na lishe bora iliyopo inachukua muda kuonekana. Hao unaowaulizia utawaona ni warembo, lakini kwisha kabisa, na ukiupata huku utakaa nao na afya nzuri ila siku ukibadilisha tu mazingira, lazima tutakuimbia ......Niagieni.........Kwa tabia zako hizo za kutaka machangu kwa udi na uvumba, ukifika huku usi-nipm, mimi nimejichukulia Mke Mzuri, Mweusi kutoka Shirati.