cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,161 Reaction score 181,296 Jan 7, 2023 #481 To yeye said: Nisamehe,u know that I love you....nilikorogwa ilibidi nichanike tu.TeAmo Click to expand... umewachanaaa makavuuu dear.
To yeye said: Nisamehe,u know that I love you....nilikorogwa ilibidi nichanike tu.TeAmo Click to expand... umewachanaaa makavuuu dear.
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,708 Reaction score 51,122 Jan 7, 2023 #482 mimiamadiwenani said: Sisi mabahili tunakubali kuwa siyo wanaume kamili na tunaupenda ubahili wetu na hela zetu. Kikubwa tukipata genye tunapeleka moto tu basi. Hilo la kutokua wanaume kamili hatuna tatizo nalo. Click to expand... Wewe tatizo haulewekagi upo upande upi ndio maana haina tatizo na kutokuwa mwanaume kamili.
mimiamadiwenani said: Sisi mabahili tunakubali kuwa siyo wanaume kamili na tunaupenda ubahili wetu na hela zetu. Kikubwa tukipata genye tunapeleka moto tu basi. Hilo la kutokua wanaume kamili hatuna tatizo nalo. Click to expand... Wewe tatizo haulewekagi upo upande upi ndio maana haina tatizo na kutokuwa mwanaume kamili.
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,974 Reaction score 35,342 Jan 7, 2023 #483 KENZY said: Kibishi tu hichi kidada Click to expand... Tatizo la wengi wenu hamtakagi kukosolewa. Mnaamini mpo sahihi kwa kila kitu ati kwa sababu mna miliki mikia. Good Morning!! Sent using Jamii Forums mobile app
KENZY said: Kibishi tu hichi kidada Click to expand... Tatizo la wengi wenu hamtakagi kukosolewa. Mnaamini mpo sahihi kwa kila kitu ati kwa sababu mna miliki mikia. Good Morning!! Sent using Jamii Forums mobile app
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,271 Reaction score 96,304 Jan 7, 2023 #484 tulio single toka tumezaliwa tufanyaje??
Binadamu Mtakatifu JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 4,337 Reaction score 9,079 Jan 7, 2023 #485 cocastic said: kwishaaa kabisaaaa. Click to expand... Nyang'anyang'a
Lovelovie JF-Expert Member Joined Oct 2, 2021 Posts 12,973 Reaction score 26,960 Jan 7, 2023 #486 To yeye said: πππcc: Lovelovie Click to expand... Nilisema yani hyo ni sifa ya kwanza tofauti na hivo tutaolewa December mbili zijazo tujifikilie kwanza
To yeye said: πππcc: Lovelovie Click to expand... Nilisema yani hyo ni sifa ya kwanza tofauti na hivo tutaolewa December mbili zijazo tujifikilie kwanza
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,488 Reaction score 119,258 Jan 7, 2023 #487 Joannah said: Mwanaume kamili hatakiwi kuwa BAHILI Click to expand... Ubahili ni sifa ya kuwa tajiri
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 21,708 Reaction score 51,122 Jan 8, 2023 #488 ERoni said: Ubahili ni sifa ya kuwa tajiri Click to expand... We Eroni acha uongo!ππ.....Ukiwa bahili hupati pesa pata MTU wa kumuhonga pesa uone utavyopata nguvu ya kutafuta pesa
ERoni said: Ubahili ni sifa ya kuwa tajiri Click to expand... We Eroni acha uongo!ππ.....Ukiwa bahili hupati pesa pata MTU wa kumuhonga pesa uone utavyopata nguvu ya kutafuta pesa
Kasiano Muyenzi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2018 Posts 13,972 Reaction score 22,922 Jan 8, 2023 #489 Kelsea said: Kama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa. Click to expand... Kwani wakitumia kinga huwa hawazini? Waambie waache uzinzi.
Kelsea said: Kama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa. Click to expand... Kwani wakitumia kinga huwa hawazini? Waambie waache uzinzi.
Mussa Nzugilwa JF-Expert Member Joined Feb 21, 2014 Posts 2,391 Reaction score 4,960 Feb 26, 2023 #490 Tate Mkuu said: Mbona karibia hizo sifa zote sasa zinanihusu mimi!! Click to expand... Manaake wewe sio mwaume pro max plus
Tate Mkuu said: Mbona karibia hizo sifa zote sasa zinanihusu mimi!! Click to expand... Manaake wewe sio mwaume pro max plus
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,827 Reaction score 118,991 Feb 26, 2023 #491 Nzugilwa said: Manaake wewe sio mwaume pro max plus Click to expand... Huu uzi ni wa kujifurahisha tu. Ila baadhi yenu mnauchukulia kwa uzito sana.
Nzugilwa said: Manaake wewe sio mwaume pro max plus Click to expand... Huu uzi ni wa kujifurahisha tu. Ila baadhi yenu mnauchukulia kwa uzito sana.
H hot boy Member Joined Jan 17, 2023 Posts 85 Reaction score 170 Feb 26, 2023 #492 Wewe Sasa unaleta vichambo