Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,092
- 165,249
Natamani kuwa mtoto....
Atoto siyo siku zote atakuwa anakosa wewe.
Haruhusiwi kukosa.
Nimeelewa moja tu, ya mwisho!
Kwa nini iwe moja?
Hizo zingine hazionekani au makusudi!?
Kumpata mwenye sifa angalau 10 au 7 kati hizo kwa mama dada zetu unaweza kutafuta kote aiseeee
Na kumpata mwanaume anayedeserve hata sifa 5 hapo unaweza ukatafuta hadi unakufa humpati.
Hahahahahaha......kwahiyo bila bila dada kweli mapenzi ya siku hizi maigizo halafu tunawacheka bongo movie
Ndio hapo chacha, yaani ni majanga plus plus.
mmmhhh!! Aiseeeeee?!Bujibuji uko makini sana mkuu.
hakika umenikuna sana katika hili. ndoa nyingi zinasambaratika kwa kukosa haya. wanawake kwa mabinti hebu jifunzeni maana hata siku hizi kitchen part zimekuwa za viswahili vya pwani na misemo ya taarabu isiyojenga bali kubomoa ndoa zaidi.
Na kumpata mwanaume anayedeserve hata sifa 5 hapo unaweza ukatafuta hadi unakufa humpati.
Natamani kuwa mtoto....
SS ndo kitabu gan mkuu?