Sifa za mke bora

Sifa za mke bora

Huo ni unafiki lol,muogope mke wa hivyo,naweza nisianzishe ugomvi,ila nitanuna au nitakuambia tabia yako ya kurudi usiku wa manane siipendi,lol hafu haooo kitandani kila mtu kamgeuzia mwenzie mgongo lol
 
humu ndani unaweza jikuta unacheka peke yake.
i wish wachangiaji walioolewa watupe uzoefu
 
Mmmh! How if usipogundua kabla ya ndoa? Jee akianza sasa?

Igi unajua kwanini nakuuliza?

Aiseeee nikae na mtu then nisigundue?Ok imetokea anakunywa atleast awe anarudi mapema nyumbani watoto wake wawe wanamuona sasa hiyo saa 9 halafu saa 12 asubuhi kaondoka watajuana kweli na wanae?
Na kwanini unauliza hivyo Mashaxizo??
 
Last edited by a moderator:
Ivo viburi vyenu ndo vinasababisha kila cku muwe mnaachwa

Sio viburi ila nikutunziana heshima na mwanamke ukikubali hiyo hali kuanzia mwanzo lazima ujue milele utakuwa wa hivyo wakuijiwa saa 9 za usiku
 
Sio viburi ila nikutunziana heshima na mwanamke ukikubali hiyo hali kuanzia mwanzo lazima ujue milele utakuwa wa hivyo wakuijiwa saa 9 za usiku

Kwa hiyo je kama ulinikuta nna utaratibu huo na ukaukubali
 
Huyo mwanamke ana hekima sana hakyanan...mwanaume mwenyewe lazima utaacha pombe ila kwa mwanamke mwenye wenge na aliye na hekima za saloon lazima apinge hapo...
 
Utauvunja na gegedo labda halijakupata vizuri, lakin kama limekolea hizo tofauti wala hauzioni

Hahahaha nimeishia kucheka tu.Ila nikitafutaga ni wale ambao hawawezi kunywa kabisa pombe kwa hali yoyote ile
 
Tatizo lenu nyie wakina dada hamjui...namna ya kutukamata na kututawala ni upendo...lakini ukijifanya we ndo bingwa, utaumia sana. Kwanza ndo unakuwa unachochea tatizo....cku nikija kupokelewa hivyo naacha pombe
 
Mimi maoni yangu ni haya:
Kwenye hiyo picha naona mwanamke ametimiza jukumu lake
Ninavyofahamu mwanaume ni kichwa cha familia, mlinzi wa familia yake, na katika yote familia lazima iwekwe mbele kabla ya vitu vyote kwa sababu hawa ndio watakaokujali wakati unaumwa, watakaokufariji wakati wa shida mfano kifedha na kukumotivate, na ni kazi ya mwanaume kuprovide kwa ajili ya familia yake wala sio jambo ambalo anatakiwa ajisifie (kwa mfano hatusifii t.v ikiwa inaonesha picha kwa sababu ndicho inachotakiwa ifanye) wala nini ni kazi ya mwanaume kufanya kazi kutoka jasho kuilisha familia yake,
Mwanamke ni msaidizi wake wa karibu zaidi

Mwanaume anatakiwa ailinde familia yake na physical attacks na spiritual attacks, na anatakiwa aongoze familia yake katika kumjua na kumtumikia Mungu kama kichwa cha familia anatakiwa awe mfano wa kuigwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom