Age: wanategemea heshima na kuchoka mapema kwa Ke, lakini leo hii naona kuna ndoa ambazo ni imara na kuheshimiana, ingawe Ke ana mzidi umri, na kuna ndoa kibao zimeshikiliwa na uzi wa tandu, huku Me akiwa na umri kuliko Ke, Swala la kuchoka inategemea na mazingira na aina ya maisha ya wahusika wenyewe.
Elimu: Ni elimu gani unayo maanisha hapo .
Kwa kuwa umeshapururuliwa na majidume bila mpangilio umewahi kukandia bikira kwa kuwa tu unaupaisha udhaifu wako. Bikiri si ugonjwa na nikukumbushe kuwa binti aliye mcha Mungu, anapoolewa akiwa na bikira basi anayo nafasi nzuri ya kujitunza na kuwa mwaminifu zaidi ya wewe uliyezoea kubanduliwa kila kichochoro.
Kwa kuwa umeshapururuliwa na majidume bila mpangilio umewahi kukandia bikira kwa kuwa tu unaupaisha udhaifu wako. Bikiri si ugonjwa na nikukumbushe kuwa binti aliye mcha Mungu, anapoolewa akiwa na bikira basi anayo nafasi nzuri ya kujitunza na kuwa mwaminifu zaidi ya wewe uliyezoea kubanduliwa kila kichochoro.
Well saidHakuna yuniveso law
Haramu kwa mwenzio halali kwa mwingine.
Mbona Maria Carey na mumewe wanaishi japo Mariah mkubwa????
Kijana, cheza mziki unaoulewa mwenyewe, huolei ukoo, wazazi wala jamii yako, unajiolea mkeo wa kuishi naye wewe.
Grow up kid!
1) Sifa na tabia njema (2) Lika na umli mnao lingana (3) Umfaham kwa mdamlefu (4) Maradhi ya kulisi (5) Imani moja (6) Anae kubalika pande zote (7) Aanae hudhuria ibada (8) Usafi wa kimwili naki roho (9) Apende ndugu wapande zote.
haswaaaaaa future ni nyeusiii tiiiMapenzi ni kitu cha ajabu na ni upofu pia, unaweza kutoa vigezo vyako vyote but ukaja fall kwa mtu ambaye hukutarajia.
Kwa kuwa umeshapururuliwa na majidume bila mpangilio umewahi kukandia bikira kwa kuwa tu unaupaisha udhaifu wako. Bikiri si ugonjwa na nikukumbushe kuwa binti aliye mcha Mungu, anapoolewa akiwa na bikira basi anayo nafasi nzuri ya kujitunza na kuwa mwaminifu zaidi ya wewe uliyezoea kubanduliwa kila kichochoro.
Ni kweli,mwanamke bikira,ana uwezo mkubwa wa kutulia na mwanaume mmoja kuliko yule alozoea ladha mbalimbali.
Asante kwa kunichallenge kwa point za nguvu hasa my mdogo,but mambo ni kama hivi usitake kuoa mwanamke aliyekuzidi au mnayelingana kwani kama ijulikanavyo mume apaswa kuheshimiwa na mkewe sasa kwa wanawake wengine ambao ni wakubwa kwa waume zao mara nyingi huona haya au hata kuhisi kuonewa kwa kuwabidi wawaheshimu waume zao ambao kiumri ni sawa na wadogo zao jambo ambalo huletea mwanamke kumheshimu mume kishingo upande au ukikukuta kichwa ngumu ni full vurugu ndani ya nyumba lakini mke akiwa mdogo kuliko mumewe ni rahisi sana kwake kumheshimu bila kinyongo kwa ukweli uliopo kuwa yule mume wake ni mkubwa na anastahili heshima,pia wanawake huwahi kuzeeka kutokana na shuluba kama vile kuzaa na hivyo ukioa mwanamke anyakuzidi umri mwisho wa siku itaonekana ulioa bibi na sio mke wa size yako jambo ambalo katika jamii huleta maswali mengi sana,na pia kuhusu elimu katika ndoa haitakiwi mume na mke muwe mmepishana sana kwenye level ya elimu mfano mume ana masters mke kaishia form four jambo ambalo ni vitu nviwili tofauti na kutofautiana sana mawazo na maoni lazima kutatokea,so kama una mpango wa kutojali vipengele hivyo viwili naomba leo ukae chini na utafakari my mdogoung
Asante kwa kunichallenge kwa point za nguvu hasa my mdogo,but mambo ni kama hivi usitake kuoa mwanamke aliyekuzidi au mnayelingana kwani kama ijulikanavyo mume apaswa kuheshimiwa na mkewe sasa kwa wanawake wengine ambao ni wakubwa kwa waume zao mara nyingi huona haya au hata kuhisi kuonewa kwa kuwabidi wawaheshimu waume zao ambao kiumri ni sawa na wadogo zao jambo ambalo huletea mwanamke kumheshimu mume kishingo upande au ukikukuta kichwa ngumu ni full vurugu ndani ya nyumba lakini mke akiwa mdogo kuliko mumewe ni rahisi sana kwake kumheshimu bila kinyongo kwa ukweli uliopo kuwa yule mume wake ni mkubwa na anastahili heshima,pia wanawake huwahi kuzeeka kutokana na shuluba kama vile kuzaa na hivyo ukioa mwanamke anyakuzidi umri mwisho wa siku itaonekana ulioa bibi na sio mke wa size yako jambo ambalo katika jamii huleta maswali mengi sana,na pia kuhusu elimu katika ndoa haitakiwi mume na mke muwe mmepishana sana kwenye level ya elimu mfano mume ana masters mke kaishia form four jambo ambalo ni vitu nviwili tofauti na kutofautiana sana mawazo na maoni lazima kutatokea,so kama una mpango wa kutojali vipengele hivyo viwili naomba leo ukae chini na utafakari my mmdo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu hajui kiswahili wala kiingerezahivi wewe hujui matumizi ya lugha???cant you see the difference between l and r??
sorry hii comment yako imenifanya nikunje uso jitu zima linaingia humu halijui wapi aandike l au r wapi aandike a au h.🥁🥁