MY LOVE
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 161
- 68
Age: wanategemea heshima na kuchoka mapema kwa Ke, lakini leo hii naona kuna ndoa ambazo ni imara na kuheshimiana, ingawe Ke ana mzidi umri, na kuna ndoa kibao zimeshikiliwa na uzi wa tandu, huku Me akiwa na umri kuliko Ke, Swala la kuchoka inategemea na mazingira na aina ya maisha ya wahusika wenyewe.
Elimu: Ni elimu gani unayo maanisha hapo .
Swala la age ni lamuhimu kuzingatia haswa kwa upande wa mwanaume ambaye anataka kuoa, umri hauangaliwi tu kwa ajili ya kuwahi kuzeeka la hasha, kuna matokeo mengine yatokanayo na jinsi gani mlivyo pishana umri, MFANO, nakumbuka nilivyo kuwa chuo kuna mahali nilisoma tafiti za watu mbalimbali zinazo onyesha mwanamke anauwezo wa kummudu mwanaume aliye mzidi zaidi ya miaka kumi kwa kila kitu, yaani ktk ukuaji, maamuzi, hekima, ujanja nk.
Ndo maana Mume anaweza kawa na 45 na mke 25 but maamuzi yote ya ndani mke akawa ndo mwamuzi wa mwisho na mume hafurukuti.
kwa hiyo kama wewe dume unajijua ni dhaifu ktk mambo mbalimbali mf mpole sana au una huruma sana ni bora uoe mke uliye mzidi miaka 10 ndo mtaishi kwa amani la ipo nyakati atakupelekapeleka ile mbaya. kama unabisha jaribu uone au fanya tafiti
