Sifa za kujiunga Chuo Kikuu kada ya elimu

Sifa za kujiunga Chuo Kikuu kada ya elimu

Issue kubwa hapo ni GPA,kama ipo vizuri,utakuwa na sifa za kusoma Bachelor,ninapoongelea GPA walau isipungue 3.
 
Ndugu huu uhasibu umenikera bora niendelee kupoteza tu mda
Narudia tena sifa unazo nenda kasome,timiza malengo yako umu jamvini wengine wapo kwa ajili ya kukatisha watu tamaa,ndo maana wengine wanakupa majibu ya kudharau kozi unayotaka kuisoma,songambele achana nao
 
Narudia tena sifa unazo nenda kasome,timiza malengo yako umu jamvini wengine wapo kwa ajili ya kukatisha watu tamaa,ndo maana wengine wanakupa majibu ya kudharau kozi unayotaka kuisoma,songambele achana nao
Asante kaka ubarikiwe,, ningetaman nipate contact ako kama hutojali
 
Niambie ni kozi gani ya ualimu inayo nifaa kwa sifa za zangu kujiunga na shahada
Kwakua unadiploma angalia masomo yako ya olevel yaliyo kwenye chEti chako hayo ndio utaweza somea ualimu wenye masomo hayo siku hizi mambo yamebadilika kidogo
 
Back
Top Bottom