Tiology Katete
Member
- Nov 16, 2022
- 37
- 23
Habari wana jamvi,
Mimi nina Diploma ya Uhasibu nilihitaji panapo majaliwa niendelee na masomo ya chuo kikuu kwa kozi ya BACHELOR OF EDUCATION IN COMMERCE AND ACCOUNTING.
Je kwa diploma yangu nina sifa za kujiunga kozi hiyo.
Mimi nina Diploma ya Uhasibu nilihitaji panapo majaliwa niendelee na masomo ya chuo kikuu kwa kozi ya BACHELOR OF EDUCATION IN COMMERCE AND ACCOUNTING.
Je kwa diploma yangu nina sifa za kujiunga kozi hiyo.