Sifa za kila mkoa Tanzania.

Sifa za kila mkoa Tanzania.

naona mnazidi kuwaumiza moyo wana MTWARA wazee wa nchale®.
 
hiyo sifa ya Arusha duuh!
sifa ya mwanza ndio ilitakiwa iwekwe AR
wtt wa ungaltd bado hatujaacha msuba so utulivu ni ziro!

 
KOKUTONA nimependa tanga hapo

Umeona eeeh Arabela, wakija Tanga hawataki kurudi, na wengine wanazidi kuja. Wahaya, Wachaga (hawa wameacha wake zao Moshi, wana nyumba ndogo Tanga), Wakurya, Wasukuma n.k wameshindwa kurudi makwao. Chezeya mapenzi ya Tanga wewe.....
 
Last edited by a moderator:
Aisee arif mbona unataka kuturushia sisi wanapollo, yaani unatuita machalii wa Chuga ni wastaarabu....aisee hebu futa haraka hiyo makitu kabla hatujanyofoa nyaya za JF seva...

CHUGA......

CC kwa Wahaya wote esp. Bishanga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom