Umeona eeeh Arabela, wakija Tanga hawataki kurudi, na wengine wanazidi kuja. Wahaya, Wachaga (hawa wameacha wake zao Moshi, wana nyumba ndogo Tanga), Wakurya, Wasukuma n.k wameshindwa kurudi makwao. Chezeya mapenzi ya Tanga wewe.....
Aisee arif mbona unataka kuturushia sisi wanapollo, yaani unatuita machalii wa Chuga ni wastaarabu....aisee hebu futa haraka hiyo makitu kabla hatujanyofoa nyaya za JF seva...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.