Sifa, shobo na usharobaro vyamtokea puani mwanafunzi wa UCC Mbezi beach mbele ya wajeda leo

duuu pale lugalo kuna siku
tulikua kwenye daladala
moja wa abiria katika basi
alitupa takataka
weeeeeee ilikua nomaaaaa
wale wajeda acha tuuuu
wakasimamisha daladala
na kuuliza aliyetupa takataka watu tukakaushaaaaaa
weeeeeeeee yaniiiiiii kidogo tufie paleeeeeee
waliamuru vioo vifungweeeee
imagine mko wengi kwenye daladala yaniiii tuliteseka hewaaa hakunaaaa
ilibidi tumtaje aliyetupa taka
akashushwaaa aseeee alipewa adhabu mfano hakunaaaaaa
 

Enzi ya nyerere ipi unayoisema?
 

jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Shule gani umefundishwa vitu vya ajabu kama ulivyoandika.
 
Sijaona kosa la huyo dogo na vile vile hao wanajeshi waache ujinga na nyie mnaoshabikia acheni ujinga kitendo kilichofanyika ni kinyume za haki za binadamu.

Kwa waliopitia jeshini wanaelewa sana. Usiwaponze vijana ambao hawaelewi masuala ya jeshi yana taratibu zake. hata mimi mtu akinipiga picha sikubali anaipeleka wapi.Muwafundishe vijana ili waelewe. Uhuru una mipaka yake!
 
Nduguyangu sio wanajeshi tu, hata mimi binafsi sipendi mtu simjui alafu anipige picha, aniipeleka wapi nini maelezo yake huko atakako iweka. Labda iwe nimeshindwa kumdhibiti tu, kama yupo ndani ya uwezo wangu kufa hafi ila chamoto atakiona.
Aiseeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…